Moderators wa JF mnapaswa kuzifuta mada zingine za hovyo kama hizi. Ni upuuzi tupu.
Kama kuwa single kunasababisha kichaa na afya ya akili basi Maaskofu, Mapandre au Masista wote kabisa wa Kanisa Katoliki wangekuwa wanaongoza kuugua kichaa hapa duniani.
Huu ni uwango mkubwa sana