Je, ni kweli ukiwa single unapata kichaa ama afya ya Akili?

Binti Lolalola akisoma haya maneno atalia sana.
Wacha ujinga bhana, Wacha atulie huko korokoroni.

what happened happened, ali chagua maamuzi yake, nami nika fata yangu.!!.
But I respect her, na ule tulio fanya ni utoto na makuzi ya ujana tu
 
Huo ni uongo, though kuna muda unajihisi mpweke sana lkn haina maana kuwa unakuwa na shida ya akili.
 
Wale wanalawaiti mf PADRE KIMARO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…