Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?

Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Wataalamu tunaomba msaada.

Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?

Screenshot_20241004_151750_Instagram.jpg
 
Hizo ndio brains za eatv na media houses in Tanzania
 
Hao wanaoendesha hicho kipindi wote wametoa mimba nyingi sana shuleni na Kwa Sasa ni ma single mothers na mazungumzo Yao ni kuwaponda wanaume .
 
inaweza kuwa kweli, ila kwamba mwanaume hamu inapungua kusingekuwa na mashoga dady
 
Mwanamke anapozidi kujikubali anakua anaachana na vihofuhofu hamu inaongezekaga. Wengi wanakua wameanza kuwa watu wazima.

ILa ni athari ndogo na baada ya hapo naye hamu itapunguapungua kidoogo.

Kwa mwanaume hamu kupungua ni baada ya balehe, lakini kutokana na ongezeko la uzoefu athari zinajiua inakuwa tu kazi kazi. Na ndio chanzo cha msemo mwanaume hazeeki maini.
 
Mimi natoa uzoefu wangu ni kweli ninachokiona kwangu Kuna saa natamani kulia aisee ila.ndio hivyo nabidi nijifanyishe kazi Nichoke sana wakati.mwenzangu awezi tena kila siku na hapo tumepishana 8 yrs ni shida ila ni salama.
 
Kwa hiyo menopause inaongeza hamu ya ngono? Hawa kina Bhoke hawa!
 
Mwili wa binadamu sio km mashine unaweka materials inaprocess na kutoa product. Processes za mwili unavyofanya kazi kuna variations nyingi sana zinatokea na zinasababishwa na input mbalimbali, sahihi na zisizo sahihi so hamna majibu ya moja kwa moja kama kufanya hesabu za mara. Hisia, lishe, hormones, experience, elimu - general na sexual, background, malezi na mafunzo, imani, nk vyote hivi vinachangia outcome ya kila biological process ndani ya mwili including sex. So wanajifurahisha tu hawa watu na wanaprove kiwango chao cha ufahamu kikoje.
 
Back
Top Bottom