Mtu wa maana wa kumuuliza hapo ni huyo rafiki yako na si madaktari....muulize huyo rafiki yako kwanini anajiamini hivyo...inawezekana huyo rafiki yako ameshajua ukweli wa jambo hili kwamba HIV/AIDS ni feki....sasa muulize anaweza akakupa elimu usiyoitegemea.
Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo kwamba HIV/AIDS ni uongo uliopindukia...hakuna HIV,watu hufa kwa magonjwa yaliyokuwepo tangu zamani kabla ya huyo HIV feki kupata kiki....na wale wanaoutumia ARVs ndio hufa vifo vibaya zaidi mwishoni....fanya udadisi wako utajua tu...
Halafu pia nini rafiki yako....kuna watu wako kwenye ndoa kabisa...yaani mmoja amepimwa HIV+ lakini mwingine ni HIV-...wako kwenye ndoa kwa miaka mingi wamezaa watoto na watoto ni HIV-.Ukitaka kujua ukweli usisubiri kuletewa mezani,tafuta mwenyewe ndio inakuwa raha zaidi...yaani ukijua ukweli huu ni raha sana.....mwache huyo rafiki yako afurahie maisha yake...wewe endelea kuogopa kivuli chako mpaka pale utakapotambua ukweli huu.
Hili jambo limejificha sana,hivyo unahitaji juhudi kubwa kutambua ukweli wake.