2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
ningependa kuiweka hii topic kihivyo kwasababu mimi ni mgeni kidogo hivyo basi sijajua kama hii topic imewahi kugusiwa huko nyuma ama la. kimsingi nataka nipate maoni yenu wasomi na waalim na wengineo kwa ujumla juu ya madai kuwa hapa nchini lecturers(wakufunzi wa chuo ) wengi wanabana kutoa alama za A katika masomo, na kama mpo mia moja basi wanaweza kuwa watu nane tu ndo wanaishia kupata A wengine wanachezea makarai (yaani alama ya C) kama ni kweli nini hasa chanzo cha hili tatizo katika kuiboresha elimu yetu nchini. na pia nilipata tetesi kuwa nchi zilizoendelea huwa hakuna tatizo hili. kama lipo je tatizo ni lecturer wanafunzi wetu wanaotakiwa kulaumiwa au mfumo? asante:A S check_03::A S check_03::A S check_03::A S check_03::A S check_03: