Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,058
Hapana si kweli kabisa, kupata A ni jitihada zako sio mwalimu kugawa...A haipewi inatafutwa...hata UK kupata A ni mpaka kweli uwe na uwezo wa mtu wa A si kirahisi rahisi....pia inategemea na vyuo....mfano vyuo vya marekani elimu yao ni rahisi kidogo uki compare na ya UK so unakuta integration za watu wa marekani mwaka wa kwanza ni tofauti na za wa mwaka wa kwanza UK
mkuu kuna mambo yapo bongo hayafanyiki sehemu yoyote duniani. Ukienda muhas kwenye clinical rotations wasichana tu ndo wanafaulu vizuri na ukifuatilia backgraund yao ndo walikuwa wanachezea sup za basic mwanzo mwisho. Wengi wao wanalia kwenye mitihani ya clinical na wanafaulishwa. Mwanaume ilikuwa hata ujitetee vipi kama nyote imeangukia kwenye kuliwa kichwa utaliwa tu.! Ukienda vyuo vingi vya serikali lecturers wanadhani kuwapa c watu ndo kuonekana anafanya kazi kumbe ni upuuzi tu. Najua mpo humu na mtakuja kujitetea na hoja zisizoendana na yale mnayoyafanya. Niliteseka sana nilipokuwa muhas hasa paediatrics.