je ni kweli vyuo vyetu vikuu (tanzania) ni ngumu kupata "a'' ukilinganisha na nchi zilizoendelea ?

je ni kweli vyuo vyetu vikuu (tanzania) ni ngumu kupata "a'' ukilinganisha na nchi zilizoendelea ?

Hapana si kweli kabisa, kupata A ni jitihada zako sio mwalimu kugawa...A haipewi inatafutwa...hata UK kupata A ni mpaka kweli uwe na uwezo wa mtu wa A si kirahisi rahisi....pia inategemea na vyuo....mfano vyuo vya marekani elimu yao ni rahisi kidogo uki compare na ya UK so unakuta integration za watu wa marekani mwaka wa kwanza ni tofauti na za wa mwaka wa kwanza UK

mkuu kuna mambo yapo bongo hayafanyiki sehemu yoyote duniani. Ukienda muhas kwenye clinical rotations wasichana tu ndo wanafaulu vizuri na ukifuatilia backgraund yao ndo walikuwa wanachezea sup za basic mwanzo mwisho. Wengi wao wanalia kwenye mitihani ya clinical na wanafaulishwa. Mwanaume ilikuwa hata ujitetee vipi kama nyote imeangukia kwenye kuliwa kichwa utaliwa tu.! Ukienda vyuo vingi vya serikali lecturers wanadhani kuwapa c watu ndo kuonekana anafanya kazi kumbe ni upuuzi tu. Najua mpo humu na mtakuja kujitetea na hoja zisizoendana na yale mnayoyafanya. Niliteseka sana nilipokuwa muhas hasa paediatrics.
 
''a'' huwezi kupata kama unalala baa,
''a'' huwezi ukapata kama huhudhurii lekcha,
''a'' huwezi ukapata kama you don't recall what you learn
''a'' huwezi kupata kama huna mpenzi ambaye ndiye LIBRARY
''a'' huwezi kupata kama unasaini kozi weki ndogo
''a'' huwe kupata kama hujajiandaa kikamilifu na UE (University Examination)
Written by:Mbwilo,S.-from SAUT-MTWARA

Ni "A" siyo "a", au ndiyo alama za SAUT hizo?
 
Hakuna ukweli wowote. Wanafunzi wengi ni vilaza. wameendekeza starehe. ndio maana wanaishia kuzoa hayo makarai.
 
Wanafunzi someni, na kuweni wabunifu katika kujibu maswali; mwanfunzi anavuna kile alichopanda
 
Back
Top Bottom