Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Wewe hujatembea ndio maana unasema majengo ya zamani yanapendeza kuliko ya Sasa hivi mpo serious kweli halafu kwanini mnaushamba wa kusifia vitu vya zamani hata kama havina hiyo sifaKama nimemuelewa mleta mada anachozungumzia yeye ni ile "workmanship" kwa maana ya nakshi nakshi za kupendezesha hayo majengo, na sio ukubwa/urefu wa jengo
Yes! Zimefichwa. zinatolewa hatua Kwa hatua sio Kwa wakati mmojaKweli kabisa mkuu, unadhani ni kwanini hatujui mbinu zilizo tumika kujenga majengo ya zamani?
Je zimefichwa kwa makusudi, na kwa lengo gani hasa?
Hilo ni sawa na haya majengo ya sikuhizi ambayo juu hayana paa, ndani kunavuja mwanzo mwishoHuyo boya aliejenga hilo jengo lenye rangi ya yanga mali siyo yangu ila nikikutana nae nisipozuiwa naweza kumuua
Na vipi kuhusu ule mchoro wa kwenye device na kwenye temple, Umeuelewa vipi?Yes! Zimefichwa. zinatolewa hatua Kwa hatua sio Kwa wakati mmoja
Durable, hapo imehimili matetemeko ya ardhi ya miaka kwa miaka ,jua na Mvua lakini still ukuta hauna cracks na nguzo ziko kama zimemiminwa jana
Mashine zinapotumika gharama zinapungua. Kazi ya mashine ni kupunguza gharama na kuokoa muda.Kuhusu gharama za ujenzi, sahivi gharama ni kubwa kwani kuna matumizi ya mashine na vifaa vingine, lakini zamani walitumia mikono na nguvu kazi ya watu.
Hiyo teknolojia yao ya zamani naamini ina siri kubwa, ni zaidi ya tunavyo fikiri.Zamani nadhani wajenzi huru (freemasons) walikuwa bado wanatumia sana teknolojia yao na ilikuwa imesambaa. Sasa wameingia wajuaji wameharibu na usomi wao
Tusiongee sana, wewe uliyetembea tuwekee picha ya nakshi za kisasa...ilimradi usutuletee mable na tiles oriented buildingsWewe hujatembea ndio maana unasema majengo ya zamani yanapendeza kuliko ya Sasa hivi mpo serious kweli halafu kwanini mnaushamba wa kusifia vitu vya zamani hata kama havina hiyo sifa
Wanasema dunia hii hakuna siri kama utataka kuijua.Lakini naamini hiyo siri inaweza kujulikana endapo tafiti za kina zikifanyika
Ushawahi kusoma hiki kitabu?Na vipi kuhusu ule mchoro wa kwenye device na kwenye temple, Umeuelewa vipi?
Trust me, hakuna sehemu uliyofika wewe ambapo mimi sijafika.Wewe hujatembea ndio maana unasema majengo ya zamani yanapendeza kuliko ya Sasa hivi mpo serious kweli halafu kwanini mnaushamba wa kusifia vitu vya zamani hata kama havina hiyo sifa
Durable, hapo imehimili matetemeko ya ardhi ya miaka kwa miaka ,jua na Mvua lakini still ukuta hauna cracks na nguzo ziko kama zimemiminwa jana
Kwa Italy, Architect wa zamani walitumia Limestone, Miamba ya Volcano(Volcanic rocks) na materials mengine katika ujenzi
Hapana sijawahi kusoma, kinahusu nini?Ushawahi kusoma hiki kitabu?
Wewe hujielewiTrust me, hakuna sehemu uliyofika wewe ambapo mimi sijafika.
Hizo ni tofauti kati ya mashine na nguvu kazi, lakini ubora na kudumu kwa muda mrefu ndyo sifa kuu ya majengo ya zamaniMashine zinapotumika gharama zinapungua. Kazi ya mashine ni kupunguza gharama na kuokoa muda.
Hayo majengo ya zamani ni kweli yalitumia nguvu kazi, lakini pia yalitumia miaka mingi sana kuyajenga mpaka yakamilike. Na pia kuchoronga hiyo michoro /urembo walihitajika wataalamu hasa sio mafundi kama wa sasa. Kwahiyo gharama ilikua kubwa.
We sema saa nyingine walikua wanatumia watumwa kwahiyo gharama inapungua.
View attachment 3071255
Sasa kuna ubunifu gani wa kuvutia hapa zaidi ya vioo tu?
We unajua tofauti ya Structure/Design na Height ya Jengo?
Hivyo vioo ndio ubunifu wenyewe wa kuvutia unafikiri Sasa hivi watu wanashindwa kujenga kama hayo majengo ya zamani sema hayawezi kuwa na fashion mzee tunaenda na dunia inapoenda sio kuganda tu milele kama unaona kioo sio ubunifu basi wewe katika wale washamba wa duniani upo namba 1Sasa kuna ubunifu gani wa kuvutia hapa zaidi ya vioo tu?