Je, ni kweli Wanaume huheshimu sana wanawake Wanaotumia akili zao kujitafutia kuliko wanaotumia sehemu za miili yao?

Binafsi nawaheshimu sana wanawake wa namna hiyo na ni miongoni mwa wanaopitia changamoto sana katika safari ya kujitaftia maisha, nawapongeza wenye misimamo yao ya kweli maana wengine wanaanza vizuri ila akifika mahali kuna changamoto kidogo anabadili uelekeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…