Je, ni kweli Wanaume huheshimu sana wanawake Wanaotumia akili zao kujitafutia kuliko wanaotumia sehemu za miili yao?

Aiseee una mawazo ya kizamani sana. Kwa mwanaume mwenye ustaarabu wake. Paupuchi ni nyo geza tu.. lakin kuna mambo ya muhimu anayajitaji kutoka kwa mwanamke

Yaweza kuwa kweli

Siku hizi mnapenda hela pia toka kwa mwanamke.
 
Maisha duara mnaheshimu watafutaji mnawapenda wadangaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…