Yes sisi tumezidi bt hata nyie kumbe mnapenda sana utalii wa mambo ya ndani ni vile tu aibu ya kike inawasitiri kimtindo.Matamanio yao kwa tango jipya yanachukua muda kiasi tofauti na mwanaume anataka apate mpya kila siku/wiki au mwezi
Nimekuelewa vizuri dadake babaInategemea moyo unaangukia wapi pote pote naenea
Maelezo yake yanahusu wanawake wa kawaida wasiofanya biashara(malaya)Kuna wanawake wengi tu ni kata mti panda mti au wanapata yale mahusiano ya mlipuko. Ila wengi huwa wanajificha ili kutokutooonekana malaya Ila kwa wanaume, ni wachache wanajificha maana kuwa na majike mengi mazuri mazuri huwa ni sifa..
Kwa hiyo inategemeana
Ni kweli mkuu, acha tufaidi hivi viumbe tusitegeane kabisaYes sisi tumezidi bt hata nyie kumbe mnapenda sana utalii wa mambo ya ndani ni vile tu aibu ya kike inawasitiri kimtindo.
Mbona jukwaa linajieleza mkuu.Qualify heading yako, tamaa ya nini, tuanzia hapo vinginevyo, kinyume chake ndiyo ukweli
Yes inapendeza kuu-experience zaidi uumbaji kabla hujakata moto.Ni kweli mkuu, acha tufaidi hivi viumbe tusitegeane kabisa
Ukiwa mkubwa utaelewacha ajabu sijaelewa..
Wenye kutakiwa kujibu hii hoja ni wanawake lakini wanaume naona ndiyo wanatiriika zaidi.Salaam,
Kuna binti aliwahi nambia, wanawake hawana tamaa kama wanaume coz wao ni selective sana linapokuja suala la mahusiano.
Alinambia, mwanamke kwa mwaka anaweza pokea order 100 hadi 1000 za mitongozo bt kua wao ni selective ktk order hizo akabahatika 1/2/3/hapana kabisa.
Akanambia kwa jinsi wanaume tulivyo na tamaa ya kuonja karibu kila sketi inayokatiza mbele yetu, tungepata order hizo anaamini kizazi cha kiume kingeshatoweka.
Je ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?
Kuna ke hapo juu katoa code.Wenye kutakiwa kujibu hii hoja ni wanawake lakini wanaume naona ndiyo wanatiriika zaidi.
Hii ni aibu sana.
Niwaulize enyi wanaume je nanyi mnazo hisia za kike?
mpya ina utamu wake mipanio kama yote ila ya daily nayo tamu mambo mapya na kujiachia kama kote😂Ame mpya na ile ya daily ipi tam sema ukweli!
kutamani kila mtu anatamaniMimi naamini mnatamani ila hua mnavunga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanazo sana, we waulize mb...r....o mpya na ya kila siku ipi tamu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpya ina utamu wake mipanio kama yote ila ya daily nayo tamu mambo mapya na kujiachia kama kote[emoji23]
au nakosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndioo mie sina shida kubwa ya wanawake ni matunzo sio pesa .Salaam,
Kuna binti aliwahi nambia, wanawake hawana tamaa kama wanaume coz wao ni selective sana linapokuja suala la mahusiano.
Alinambia, mwanamke kwa mwaka anaweza pokea order 100 hadi 1000 za mitongozo bt kua wao ni selective ktk order hizo akabahatika 1/2/3/hapana kabisa.
Akanambia kwa jinsi wanaume tulivyo na tamaa ya kuonja karibu kila sketi inayokatiza mbele yetu, tungepata order hizo anaamini kizazi cha kiume kingeshatoweka.
Je ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?
Hapanaa mahiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au nakosea
Nilielewa Ila inategemeana na umalaya unaoumaanisha mkuu maana kila mtu ni innocent kwa njeMaelezo yake yanahusu wanawake wa kawaida wasiofanya biashara(malaya)
Yes, me anatamani na anathubutu bt ke anatamani then anavunga.kutamani kila mtu anatamani
Yes uoga unawalimit sana.Kila binadamu anatamaa wanawake niuoga tu ,, Mwanamke anaogopa kupigwa endapo atagundulika , au kutimuliwa maana Hana pakwenda atakula Nini