Je, ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?

Maelezo yake yanahusu wanawake wa kawaida wasiofanya biashara(malaya)
 
Wenye kutakiwa kujibu hii hoja ni wanawake lakini wanaume naona ndiyo wanatiriika zaidi.
Hii ni aibu sana.
Niwaulize enyi wanaume je nanyi mnazo hisia za kike?
 
Wenye kutakiwa kujibu hii hoja ni wanawake lakini wanaume naona ndiyo wanatiriika zaidi.
Hii ni aibu sana.
Niwaulize enyi wanaume je nanyi mnazo hisia za kike?
Kuna ke hapo juu katoa code.
 
Ndioo mie sina shida kubwa ya wanawake ni matunzo sio pesa .

Kama anapata kila kitu anatulia kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…