Je, ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?

Nilielewa Ila inategemeana na umalaya unaoumaanisha mkuu maana kila mtu ni innocent kwa nje
Yes, bt malaya wa anaejipanga barabarani na wa mitongozo hawawezi lingana mkuu.
 
Kwa hiyo idadi inategemea huyo binti yukoje. Na hiyo kutokukubali maombi yote, nayo inategemea na tabia ya mtu, siyo jinsia.

Ova
 
Tunazo ila tunavunga

Unakuta unatamani umkule mkaka mmoja ila limitation[emoji3064]


Kama huyu boss mtoto wa job.. nimemtamani tu ila naogopa ukimwi[emoji38]
 
Tunazo ila tunavunga

Unakuta unatamani umkule mkaka mmoja ila limitation[emoji3064]


Kama huyu boss mtoto wa job.. nimemtamani tu ila naogopa ukimwi[emoji38]
Sina ukimwi mama, njoo tu unikule! Mimi nishakuwa mateka wako hun...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…