isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,407
a.k.a LE KI3A100a.k.a PyOPyOMAaaaaa!!!!! 🏃🏃🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a.k.a LE KI3A100a.k.a PyOPyOMAaaaaa!!!!! 🏃🏃🏃🏃
Fally bado yupo na olivia yule wa g unitKweli..Congo wasanii wengi ndumba sana Fally Ipupa kamuua mama yake na kile kitambaa anachotumiaga kufutia jasho ni cha marehemy mama yake...JB Mpiana wa wenge BCBG kameza chura,Koffi olomide anaoga mikojo kabla ya kwenda kwenye show..Huyu JB Mpiana nahisi nyimbo zake kabla ya kutoa ni kweli zinakuwa na makafara ya kutisha maana ni miaka zaid ya 20 sasa kila asubuhi nikiamka iwe room kwangu au kwenye gari lazima nisikilize nyimbo zake kuanzia Feux De Amour,48 heures Gecoco,Masuwa n.k alikujaga 2014 Leaders lilipigwaga sebene la hatari la Gecoco watu shangwe kibao...hizi story zipo kwa sababu waganga hawaishi mbinguni wapo maeneo hayohayo wanayoishi kwahyo watu wanawaona kwa macho wakiwa katika hizo harakati kwako GENTAMYCINE
Hiyo habari ni ya liniMama yake Rayvanny hataki hela za mwanae anadai zina mauza uza kibao
Si wakongo tu hata bongo hakuna msanii asiekwenda kwa mganga. Kuna mmoja juzi eti anatuambia alishawah kwenda kwa mganga ila hakuona faida yake [emoji3][emoji3] nlicheka nkasema huyu anatuchezea akili
Nandy tu hapa bongo analaumiwa sana kwa ndumba yani iko hivi KAZI YAUSANII NA UCHAWI HAVIEPUKIKI USIPOROGA UTAROGWA UKIPOTEA MGANGA WAKO KAISHA MAKALI
Wcbooo!! Wote wazee wa vilinge Hadi konde girlNgoja nivute kiti nikae,hadi Vanny boy naye yumo?
Ulimuona JB Mpiana akimeza chura? Koffi Olomide akioga mikojo?Kweli..Congo wasanii wengi ndumba sana Fally Ipupa kamuua mama yake na kile kitambaa anachotumiaga kufutia jasho ni cha marehemy mama yake...JB Mpiana wa wenge BCBG kameza chura,Koffi olomide anaoga mikojo kabla ya kwenda kwenye show..Huyu JB Mpiana nahisi nyimbo zake kabla ya kutoa ni kweli zinakuwa na makafara ya kutisha maana ni miaka zaid ya 20 sasa kila asubuhi nikiamka iwe room kwangu au kwenye gari lazima nisikilize nyimbo zake kuanzia Feux De Amour,48 heures Gecoco,Masuwa n.k alikujaga 2014 Leaders lilipigwaga sebene la hatari la Gecoco watu shangwe kibao...hizi story zipo kwa sababu waganga hawaishi mbinguni wapo maeneo hayohayo wanayoishi kwahyo watu wanawaona kwa macho wakiwa katika hizo harakati kwako GENTAMYCINE
Hamna kituDuuuuh. Lisemwalo lipo
Asante mkuu...nichukue nafasi hii kukwambia ya kwamba sina majibu ya maswali yako na siwezi kuyaongelea mambo hayo ukiona ni chai yaache kama yalivyoUlimuona JB Mpiana akimeza chura? Koffi Olomide akioga mikojo?
Una ushahidi kuwa Fally Ipupa alimuua mama yake na si kwamba ulisikia tu ukaamini?
Una uhakika mama yake aliuawa na Fally Ipupa na si kwa ugonjwa?
Itakuwa vizuri na kuokoa muda kama ukijubu straight away na sio kuleta story ndefu.
Karibu.
Peace MkuuAsante mkuu...nichukue nafasi hii kukwambia ya kwamba sina majibu ya maswali yako na siwezi kuyaongelea mambo hayo ukiona ni chai yaache kama yalivyo
mama kazikataa kabisa bado anauza ndizi sokoni hata dada zake hawazitaki..hela masharti kibao unaona mtu anasuka nywele za kike, anavaa headscarfs za kike probably hata mnduku wanatoa kama masharti ya kufanikiwa na ku glorify ma celebrity mashoga kama yule mtangazji wao wa wasafi hadi vijana wa mitandaoni wanaona ni kitu cha kawaidaMama yake Rayvanny hataki hela za mwanae anadai zina mauza uza kibao
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.kwani yule si alikuwa boss wa shirika la ndege? sidhani kama alikuwa waziri ila defao ana bahati mbaya sana na bongo hata nyoshi el sadaat alimpa lift kwenye kigari chake kibovu wanaenda kwenye show mango garden kufika mwananyamala hospital gari ikaisha mafuta nyoshi kashuka na kidumu anakimbilia petrol station huku nyuma defao kaona ujinga kachukua teksi akiwa kakasirika sana sababu watu walishazingira gari kumshangaa
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lak!Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
AiseeAcha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Hauna unachokijua 'Kakojoe' ukalale tu.hamna marehemu waziri wa kikwete alikua na sifa hizo H na D as herufi za mwanzo
Hassani alikuwa muuza ngadaAcha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.