Je, ni kweli Wasanii wa Congo wapo juu kwa ushirikina?

Fally bado yupo na olivia yule wa g unit
 

Nandy anashupaliwa sana issue ya uchawi But sijawah kuamini kalivyo kapole vile
 
UONGO MTUPU

Wakongo muziki ni jadi yao, Ni utamaduni wao, ni kazi yao na ni sehemu ya maisha yao

Halafu ukweli ni kuwa wana asili ya sauti nzuri na wanapenda sana kuifanyia mazoezi sauti zao hata wakiwa katika matembezi au shughuli zingine za kawaida

Siri ya muziki wao kufanya vizuri ni Mazoezi tu na kupenda kazi yao.

Tazama mazoezi waliokuwa wakifanya akina Madilu System, Franco L. Makiadi na wengine na wanajiandaa kwa muda mrefu kabla ya kutoa nyimbo zao.

UCHAWI HAKUNA....!!!

ukitaka kufanikiwa penda unachokifanya na ufanye kwa juhudi zote.

Wabongo ni wajinga wajinga sana na Majungu tele
 
Ulimuona JB Mpiana akimeza chura? Koffi Olomide akioga mikojo?

Una ushahidi kuwa Fally Ipupa alimuua mama yake na si kwamba ulisikia tu ukaamini?

Una uhakika mama yake aliuawa na Fally Ipupa na si kwa ugonjwa?

Itakuwa vizuri na kuokoa muda kama ukijibu straight away na sio kuleta story ndefu.

Karibu.
 
Asante mkuu...nichukue nafasi hii kukwambia ya kwamba sina majibu ya maswali yako na siwezi kuyaongelea mambo hayo ukiona ni chai yaache kama yalivyo
 
Asante mkuu...nichukue nafasi hii kukwambia ya kwamba sina majibu ya maswali yako na siwezi kuyaongelea mambo hayo ukiona ni chai yaache kama yalivyo
Peace Mkuu
 
Mama yake Rayvanny hataki hela za mwanae anadai zina mauza uza kibao
mama kazikataa kabisa bado anauza ndizi sokoni hata dada zake hawazitaki..hela masharti kibao unaona mtu anasuka nywele za kike, anavaa headscarfs za kike probably hata mnduku wanatoa kama masharti ya kufanikiwa na ku glorify ma celebrity mashoga kama yule mtangazji wao wa wasafi hadi vijana wa mitandaoni wanaona ni kitu cha kawaida
 
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lak!Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Aisee
 
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.


hamna marehemu waziri wa kikwete alikua na sifa hizo H na D as herufi za mwanzo
 
Acha Ubishi alikuwa ni Waziri ( sasa ni Marehemu ) Jina lake la Kwanza linaanza na Herufi H na la Pili linaanza na Herufi D. Naomba niishie hapa tafadhali.
Hassani alikuwa muuza ngada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…