Tetesi: Je, ni kweli watu wa Afrika Mashariki wanatamani nchi moja ya Afrika Mashariki kutoka EAC?

Tetesi: Je, ni kweli watu wa Afrika Mashariki wanatamani nchi moja ya Afrika Mashariki kutoka EAC?

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,645
Habari wana JF,

Kama swali linavouliza?

Ni kweli raia wa hizi nchi Saba Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan Kusini, Rwanda na Burundi wanatamani EAC (UMOJA WA AFRIKA MASHARIKI) kuwa nchi moja ya Muungano wa Afrika Mashariki (EAC FEDERATION)?

Kulikua na mkakati wakuunganisha na kufanya tutumie pesa moja, yaani East Africa shiling na lugha moja, Kiswahili.

Lakini hadi sasa vitu haviendi kama kati ya nchi hizi mfano Rwanda na Uganda, Rwanda na Burundi au Tanzania na Kenya kuna kua na mikwaruzano ya chini chini kisiasa na kiuchumi!

Je, ndoto ya kufikia nchi moja, pesa moja na lugha moja inawezekana? Je, na wananchi Wana matamanio hayo?

Nawasilisha

By:
Jiwekuu
 
Nchi moja hakuna kitu kama hicho, maana kila nchi ina mambo yake, kuna walio zoea kuongoza kwa mkono wa chuma.
 
Hahahaha acha kuchekesha kwa Huyo kagame akifanikiwa ku-annex kipande cha Kivu utakuja kututangazia Kongo na Rwanda zimeungana kuwa nchi moja?
Hamna mkuu....actually haiwez kua muungano kwa sababu inakua c DRC Ila n province ndyo wameridhia.....


I was joking man Ila nilisikiliza documentary moja wananchi wa Crimea wanapenda kua part ya Russia so they are happy
 
Hamna mkuu....actually haiwez kua muungano kwa sababu inakua c DRC Ila n province ndyo wameridhia.....


I was joking man Ila nilisikiliza documentary moja wananchi wa Crimea wanapenda kua part ya Russia so they are happy
Sawa mkuu lkn UN haitambua alichofanya Russia, labda aishawishi Ukraine nzima iungane na Russia hapo hata UN itabariki huo muungano!
 
Wabongo hatutaki hiyo kitu kabisa. Ikiruhusiwa tu, ming'ombe yote ya Kenya, Burundi na Rwanda italetwa huku na kusababisha migogoro ya ardhi.
Kwa ajili ya amani yetu, raia wao wengi watahamia kwetu na kusababisha mzigo mkubwa kwa serikali katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
Watavamia misitu na kukata miti hovyo kupata maeneo ya kufugia na mashamba na upo ushahidi mkubwa baadhi yao kujihusisha na ujangili na ujambazi. Na hawa ni waingizaji wakubwa wa silaha haramu nchini. Hivyo watajishahusi na vitendo mbalimbali vya kihalifu ili kupata utajiri wa haraka haraka.
 
Back
Top Bottom