Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
😂Nimecheka sana kwenye kenya hapo, mijamaa ni misnitch kweli tena kupindukia.Tukiwatoa Kenya masnitch na Rwanda wajuaji wengine tunaweza kuungana
Let's meet at the top, cheers 🥂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Nimecheka sana kwenye kenya hapo, mijamaa ni misnitch kweli tena kupindukia.Tukiwatoa Kenya masnitch na Rwanda wajuaji wengine tunaweza kuungana
Free movement of Labour?sio rahisi hio brother/sister.Kuwa nchi moja haiwezekani ila mambo mengine kama sarafu moja, umiliki wa miundombinu ya pamoja na free movement of labour na capital itakuja wezekana huko mbeleni!
Tanganyika ilazimishe muungano kamili na nchi za EA kama inavyoibana Zanziibar. Uwezo tunao na nia tunayo. CCM oyee.Kuwa nchi moja haiwezekani ila mambo mengine kama sarafu moja, umiliki wa miundombinu ya pamoja na free movement of labour na capital itakuja wezekana huko mbeleni!
Hatukujifunza muungano wa kwanza ulipovunjika sisi mara nyingi tunafanya siasa wakati wenzetu wako kimkakati zaidi angalia tulivyotengwa wakati wa janga la corona na pia ule muungano wao ndani ya muunganoMkuu kwanini hupendi muungano wakat kabla ya ukoloni Tulikua wamoja
Kwanini unahisi rwanda inamifugo mingi kiasi hicho wakat Tanzania ndo tunaongozaWabongo hatutaki hiyo kitu kabisa. Ikiruhusiwa tu, ming'ombe yote ya Kenya, Burundi na Rwanda italetwa huku na kusababisha migogoro ya ardhi.
Kwa ajili ya amani yetu, raia wao wengi watahamia kwetu na kusababisha mzigo mkubwa kwa serikali katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
Watavamia misitu na kukata miti hovyo kupata maeneo ya kufugia na mashamba na upo ushahidi mkubwa baadhi yao kujihusisha na ujangili na ujambazi. Na hawa ni waingizaji wakubwa wa silaha haramu nchini. Hivyo watajishahusi na vitendo mbalimbali vya kihalifu ili kupata utajiri wa haraka haraka.
Muungano wenyewe uwe Kama huu Tanzania? Hapana.Kama wapemba hawajawahi kuufurahia muungano hizo nchi zote hazitaweza kufirahia muunganiko ila kama ingiwezekana tungekuwa mbali sana kwa kila sekta maana hii mipaka inaturudisha nyuma sana
Cramea ilikuwa sehemu ya urusi kabla ni kama wameirudisha swala un kutambua au kutotambua haliwahusuSawa mkuu lkn UN haitambua alichofanya Russia, labda aishawishi Ukraine nzima iungane na Russia hapo hata UN itabariki huo muungano!
Mkuu inawezekana sana sema sie watz tunawahofia tu bure wakenya hebu itazame Tanganyika na Zanzibar kikatiba imekaa kama state Union lkn kiuhalisia kabisa ni integration ambayo ni economic union unaona kabisa free movement of capital na labour, enh bakheresa kawekeza Tanganyika na hata watanganyika wengi wamejenga mahotel zenji, pia watanganyika kibao wameajiriwa kwny mahotel zenji hiyo ni free movement of labour kabisa kwa kutumia sheria hizohizoFree movement of Labour?sio rahisi hio brother/sister.
Labda wao ndo watulazimishe sio sisi, make wao muungano wanaulilia sana hasa economic Union ila tz ndo tumekuwa kikwazo tunachelewesha mchakato!Tanganyika ilazimishe muungano kamili na nchi za EA kama inavyoibana Zanziibar. Uwezo tunao na nia tunayo. CCM oyee.
Wewe kama raia hutaki?Labda wao ndo watulazimishe sio sisi, make wao muungano wanaulilia sana hasa economic Union ila tz ndo tumekuwa kikwazo tunachelewesha mchakato!
binafsi economic Union naitamani hata kesho ianze ina faida kubwa kuliko hasara, lkn hicho unachotamani wewe cha kuunda taifa moja hapana sikitamani!Wewe kama raia hutaki?
Daa jamani haaaaaaaJambo pekee lingeweza kutuunganisha kuwa kitu kimoja ni COVID-19