Tzabway
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 262
- 170
Habari zenu naJF!
Niende kwenye mada.
Leo asubuhi wakati nipo kwenye mihangaiko yangu ya kimaisha kuna jamaa mmoja nimemsikia anaongea jambo. Nikasema nitakuja kuuliza jamvini maana humu wajuvi wa mambo ni wengi.
Ishu yenyewe ni hii: "ETI KUNA UKWELI WOWOTE KUWA WATU WENYE VISOGO HAWALEWI HARAKA?"
Karibuni.
Niende kwenye mada.
Leo asubuhi wakati nipo kwenye mihangaiko yangu ya kimaisha kuna jamaa mmoja nimemsikia anaongea jambo. Nikasema nitakuja kuuliza jamvini maana humu wajuvi wa mambo ni wengi.
Ishu yenyewe ni hii: "ETI KUNA UKWELI WOWOTE KUWA WATU WENYE VISOGO HAWALEWI HARAKA?"
Karibuni.