Je, ni kweli watu wenye visogo hawalewi pombe haraka?

Je, ni kweli watu wenye visogo hawalewi pombe haraka?

Tzabway

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
262
Reaction score
170
Habari zenu naJF!

Niende kwenye mada.
Leo asubuhi wakati nipo kwenye mihangaiko yangu ya kimaisha kuna jamaa mmoja nimemsikia anaongea jambo. Nikasema nitakuja kuuliza jamvini maana humu wajuvi wa mambo ni wengi.

Ishu yenyewe ni hii: "ETI KUNA UKWELI WOWOTE KUWA WATU WENYE VISOGO HAWALEWI HARAKA?"

Karibuni.
 
Habari zenu naJF!

Niende kwenye mada.
Leo asubuhi wakati nipo kwenye mihangaiko yangu ya kimaisha kuna jamaa mmoja nimemsikia anaongea jambo. Nikasema nitakuja kuuliza jamvini maana humu wajuvi wa mambo ni wengi.

Ishu yenyewe ni hii: "ETI KUNA UKWELI WOWOTE KUWA WATU WENYE VISOGO HAWALEWI HARAKA?"

Karibuni.
Kitwanga haonekani tungemuuliza tena yeye ana kichogo, lakini mbona yule mchapabakora wa mjengoni matamshi yake yanaonekana kama amelewa na hana kichogo
 
ni kweli hata mama mjazito akila mayayi huzaa mtoto mwenye albinism.
 
si kweli mbona mfalme JU.HA anakisogo cha mbele na kisogo chanyuma na maamuzi yake ni ya kilevi levi tuu
 
Habari zenu naJF!

Niende kwenye mada.
Leo asubuhi wakati nipo kwenye mihangaiko yangu ya kimaisha kuna jamaa mmoja nimemsikia anaongea jambo. Nikasema nitakuja kuuliza jamvini maana humu wajuvi wa mambo ni wengi.

Ishu yenyewe ni hii: "ETI KUNA UKWELI WOWOTE KUWA WATU WENYE VISOGO HAWALEWI HARAKA?"

Karibuni.
 
Kwa maana hiyo ndugu zetu wa upande ule wakipata glasi moja tu unabeba? Maana vichwa vyao nyuma vipo flat kama mbao
 
Labda hawakeshi bar!!! Wakeshe siku moja tuthibitshe
 
Back
Top Bottom