ila hiyo avatar yako kwa kweli inaniondolea amani kabisa, kwa kweli kama hujibu PM basi badili avatar, vinginevyo nitakupiga ban, hujui mi ndo invisible? the unbeatable JF king??
kama kawaida turudi chemba tuzoze kidogo bibie, hapa naona kuna wenye wivu kibao!
Nimekusoma partner...kweli tatizo ni kwamba tu siku hizi tumehalalisha....hamna tena aibu na usiri ndo maana hata siku ya ndoa mama anakua mja mwepesi tayari....zaidi ya hapo tunachofanya sasa hivi ni marudio tu!Saizi imehalalishwa mno tofauti na enzi za wazazi wetu... Miaka ambayo mama zetu wanaolewa tabia ya ngono kabla ya mapenzi ilikua imeshaanza ila kwa uficho saana. Nasema hivyo tokana na ukweli kua babangu kabla ya kuona na my mom alikua na a kid tayari na mwanamke alompenda sana na ilitakwa waoane... but huyo mwanamama alidengua baada ya kupata bwana mwenye pesa regardless kua alisha zaa na babangu na kua walikua katika stage ya kuoana...
Mfano wa pili nina shangazi yangu alizaa home mwanaume akakimbia baada ya yeye kupata mimba... she was fortunate akapata mume mwingine na wanaishi mpaka leo with five more kids....
kujamiiana kwenyewe sijui uncle chelulute,nikianza ntakujibu
Waonaje nikikufunza mie? Kazi kama hii bujibuji haiwezi
hiyo nimeipenda.. angalia usije ambulia kerubisijui, ngoja niwaulize....nitarud
Unajifanya haujui? Hebu acha kutuzingua bana!Ngono ni nn?