Feyanga
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 223
- 89
ila hiyo avatar yako kwa kweli inaniondolea amani kabisa, kwa kweli kama hujibu PM basi badili avatar, vinginevyo nitakupiga ban, hujui mi ndo invisible? the unbeatable JF king??
kama kawaida turudi chemba tuzoze kidogo bibie, hapa naona kuna wenye wivu kibao!
haahahha duh!
huko chumbani kwangu nimeshapigwa ban na invisible, hapafunguki kabisaaaaa
kama inakukosesha amani we hata usiiangalie.