Habari wana jf,
Naomba moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja/mada ambayo binafsi inanisumbua sana
Kwanza nadeclare interest mimi ni mshabiki/mpenzi wa team hii ya Yanga na nafarijika sana na juhudi zinazofanywa na baadhi ya wapenzi/mashabiki wanaoichangia team ili ivuke hapa ilipo!
Na binafsi nikipata fursa ya kuunganishwa moja kati ya MA group hayo nami nitachangia kiasi.
Nirudi kwenye hoja hivi ni kweli team hipo katika hali ngumu?? Nasema hivi kutokana na safari ambazo imesafiri mpaka sasa kwani wametumia ndege kutoka Dar mpaka shinyanga then wakapanda ndege mpaka kagera kama haitoshi wakarudi kwa ndege mpaka Dar kwa tulivyozoea miaka ya nyuma team ikiwa na hali Mbaya basi Dar Bukoba ni kwa gari/bus na wakijitahid sana wanarud na point 1 ila kwa sasa ni tofauti
Pili team inasajiri mpaka wachezaj wa kimataifa kama sijakosea ni beki mkongo/kuna golikipa??? Upande wa pili Beno amegoma coz hajalipwa staiki zake sasa hapa nashindwa kuelewa hyo pesa ya usajiri mpya si angelipwa yule aliyepo??
Naamini Kabisa kuna wajuzi wapo karibu sana na team kama kweli shida/matatizo haya yapo basi tuendelee kushirikishana na kuwekana wazi kabisa na kwanini wanaotaka kugombea urais/uenyekiti wasitumie kipindi hiki kama kampeni na kuiokoa team??
Naomba moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja/mada ambayo binafsi inanisumbua sana
Kwanza nadeclare interest mimi ni mshabiki/mpenzi wa team hii ya Yanga na nafarijika sana na juhudi zinazofanywa na baadhi ya wapenzi/mashabiki wanaoichangia team ili ivuke hapa ilipo!
Na binafsi nikipata fursa ya kuunganishwa moja kati ya MA group hayo nami nitachangia kiasi.
Nirudi kwenye hoja hivi ni kweli team hipo katika hali ngumu?? Nasema hivi kutokana na safari ambazo imesafiri mpaka sasa kwani wametumia ndege kutoka Dar mpaka shinyanga then wakapanda ndege mpaka kagera kama haitoshi wakarudi kwa ndege mpaka Dar kwa tulivyozoea miaka ya nyuma team ikiwa na hali Mbaya basi Dar Bukoba ni kwa gari/bus na wakijitahid sana wanarud na point 1 ila kwa sasa ni tofauti
Pili team inasajiri mpaka wachezaj wa kimataifa kama sijakosea ni beki mkongo/kuna golikipa??? Upande wa pili Beno amegoma coz hajalipwa staiki zake sasa hapa nashindwa kuelewa hyo pesa ya usajiri mpya si angelipwa yule aliyepo??
Naamini Kabisa kuna wajuzi wapo karibu sana na team kama kweli shida/matatizo haya yapo basi tuendelee kushirikishana na kuwekana wazi kabisa na kwanini wanaotaka kugombea urais/uenyekiti wasitumie kipindi hiki kama kampeni na kuiokoa team??