Ukimwi?
Sio sana!
Labda ZIKA
Hapo hata kuzaa haruhusiwi
Asante (Mungu?) kwa UKIMWI, Maana Zika ni habari nyingine
Mama amnyonyeshe mtoto hadi pale anapoona ngozi au mapengo ya mtoto yamekomaa kiasi cha kuweza kuleta michubuko kwenye chuchu hata kama ni midogo.