Je ni kweli?

Sebali

Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
38
Reaction score
1
Baadhi ya watu hudai kwamba wanawake hutumia muda mwingi kufikiria namna ya kujenga maisha, kama vile jinsi ya kuwa na maisha mazuri. Lakini kwa upande mwingine wanaume wanaonekana kutumia muda mwingi kufikiria suala la kimapenzi zaidi. Hivyo mwanamke huonekana ni mtu wa kufikiria mambo mazito wakati mwanaume anafikiria mambo mepesi mepesi tu! Je kuna ukweli katika hilo?
 

magazeti ya uwazi,kiu,kasheshe,ijumaa na mengine ya udaku wateja wake ni wanaume? je yaliyomo humo ni mawazo ya kimaisha zaidi?
 
mmhhh mwanamke anafanya
yote haya pamoja nakufikiria mapenzi
(siwezi ongelea sana upande wa wanaume)
ingawa bado tunatoana ngeu na partner zetu
lakini tukikaa chini na kuchangia mawazo always
utapata perfect product.. maana wote tuna akili
tofauti.. lakini papo hapo napenda kuuaminiakili
za wanaume
kadhaa ziko ndani ya surali
 
As a man, mara nyingi anapokua na mwanamke anafikiria jinsi ya kumlinda, kumjali, kumfanya awe na furaha, kumpenda na kumuonesha jinsi gani anampenda, kumheshimu na mambo mengine ya kimapenzi zaidi! na katika hali ya kawaida hivi ndivyo wanawake wanataka ndio maana wengine ukimbeba tu kidogo atafuraaaaahi, hiyo ndo hali halisi jama! lakini kwa upande mwingine sasa kama ulivyosema yeye (mwanamke) yupo kimaisha zaidi (japo anakupenda pia) ndio maana watu wanasema....behind every successful man there is a woman behind,
 

Acha kusingizia mbona cjawaza kukutoa ngeu?
 
Sidhan kama kuna ukwel wowote. Mwanamke huwa ni mvivu wa kufikiri, sote twajua hilo!
 
mi nadhani tumwachie Mungu maana ndivyo alivyotuumba , mkitaka kujifanya watafiti mtaishia
kupoteza muda tu hapa na wala hamtapata jibu maana km kufikiri wapo wanaume wavivu na wanawake wavivu pia wapo.
 
Ngoja nikuongeze kengine. Kuna ka-newz kanazunguka katika duru za mtandao kuwa, Uzoefu unaonesha kuwa wale wanaume wenye mafanikio makubwa na power katika jamii wana very high sex drive, na wengi wana wanawake wengi sana. Vipi hii nayo ni kweli???
 
Ngoja nikuongeze kengine. Kuna ka-newz kanazunguka katika duru za mtandao kuwa, Uzoefu unaonesha kuwa wale wanaume wenye mafanikio makubwa na power katika jamii wana very high sex drive, na wengi wana wanawake wengi sana. Vipi hii nayo ni kweli???

ni kweli sex drive inahusiano mkubwa na wenye hella anahitaji mtu wa kumstarehesha .abramovich,hugh hefner mswati, dominik s k
 
All generalizations are false including this one.
 
mfano nani AD?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…