Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Mkuu Sammatha ni demu wangu, au ulimaanisha Sammata ?!Kwani nani kasema captain upewe mchezaji mwenye kiwango bora.
Hata kwa mchezaji wa kawaida tu anaweza kuwa captain kwahiyo usishangae kwa sammatha
ndo ukweli ila mfano awekwe benchi au asiitwe kwenye timu ya taifa huyo kocha anaweza hata kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumiMbwana kwenye timu ya taifa anarukaruka tu! Tunapoteza kodi zetu bure kumlipia nauli kuja timu ya taifa
kupita simba siyo ishu ,hata kwa sasa wachezaji wazuri ni simba ,lakini hakuna ulazimisha wa kumchezesha samata ,kuna mechi za kimataifa wachezaji wa ndani samata hakwepo taifa stars walikuwa wanashinda hata watu wakamwona msuva ndo nzuri zaidi,Samata anacheza kibishoo sana awe anaingizwa Dk 20 zikibakiHuyu kapita Simba
sasa kama hivo anapangwa au kuitwa ya niniHawezi kuhatarisha future yake kwa kuumia kwenye timu ya taifa
kwani matokeo hayakupatikana Mkuu??Ni kwakuwa hatuwapi nafasi akina Mzamiru, Waziri junior lakini wangeweza kuleta matokeo kuliko Samatta. Kwangu mimi Msuva anapigania timu kuliko Mbwana. Ni Heri unahodha akapewa Msuva Mara 200
Mbona alilimwa kadi ya njano na mwamuzi wakati akifanya kazi ya ukaptain? Alikosea wapi.Timu kapte ni mmoja wa wachezaji ambaye amechaguliwa kuwa kiongozi wa wachezaji wenzake dhidi ya timu pinzani. Miongoniwa vigezo mubimu vya kumchagua timu kapteni ni
1. Kuwa mwenye uzoefu zaidi (anaweza kuwa na umri kubwa zaidi ya wenzake pia)
2. Awe na sifa za uongozi ie commanding language lkn yenye ushawishi na sio kufoka tu
3. Awe na sifa ya ushawishi mkubwa dhidi ya wachezaji wenzake ndani na nje ya uwanja
4. Awe mzalendo hasa ktk kujitoa kupata matokeo mazuri
Je hizi sifa Samata anazo au yupo mwenye zaidi ya sifa zinazomzidi Samata!?
Mzamiru nguvu nyingi tu akili kisoda...hakuna kitu mule,kuhaha uwanjani kama kuku alokatwa kichwa si kujua mpiraNi kwakuwa hatuwapi nafasi akina Mzamiru, Waziri junior lakini wangeweza kuleta matokeo kuliko Samatta. Kwangu mimi Msuva anapigania timu kuliko Mbwana. Ni Heri unahodha akapewa Msuva Mara 200
Yani ni tafurani ndugu yanguWengine wanasema Ni timu ya Simba wewe unasena Ni ya CCM
We mjinga Kama wajinga wenzako wengine tu, mzamiru anaweza kuliko mchezaje yeyote utopolo fc!Mzamiru nguvu nyingi tu akili kisoda...hakuna kitu mule,kuhaha uwanjani kama kuku alokatwa kichwa si kujua mpira
Uwezo wake upo kwenye nini!!?..mchezaji mgumu kama mpingo..nguvu kazi tuWe mjinga Kama wajinga wenzako wengine tu, mzamiru anaweza kuliko mchezaje yeyote utopolo fc!