Wakuu nimetoka kuonana na mkuu mmoja , PMU wa educational institute ya serikali. Nimekuwa nafuatilia tender kwake ya bima kwa muda sasa. Leo, nilipokutana naye akaniuliza kama mimi kama agent nimejiandikisha GPSA, ambayo bado sijafanya kwa vile muda ulishaisha.
Swali ni kwamba, je kwa upande wa biashara ya bima,kweli agent, broker au insurance company wanatakiwa kujiandikisha ili kufanya biashara na serikali?anayetakiwa kujiandikisha ni nani? Ni insurance company, broker au agent?
Je ni kweli insurance companies zinatakiwa ziandikishwe GPSA?
Naomba ushauri na ufafanuzi.
Swali ni kwamba, je kwa upande wa biashara ya bima,kweli agent, broker au insurance company wanatakiwa kujiandikisha ili kufanya biashara na serikali?anayetakiwa kujiandikisha ni nani? Ni insurance company, broker au agent?
Je ni kweli insurance companies zinatakiwa ziandikishwe GPSA?
Naomba ushauri na ufafanuzi.