Je ni lini Tanzania itaweza kurusha satellite angani?

Je ni lini Tanzania itaweza kurusha satellite angani?

klementos

Senior Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
105
Reaction score
757
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa matumizi ya satellite ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi husika asa kwenye sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Matumzi ya satellite yanasaidia kuchukua taarifa za Duniani kwenye maswala ya uboreshaji wa kilimo, kijeshi, uchaguzi, afya, hali ya hewa na pia kupata taarifa kwa haraka zinazohusu vimbunga na matetemeko ili mamlaka zilizopo nchi hizo kutoa tahadhari za majanga kabla ya kutokea au serikali kujipanga kwa ajili ya kuchukua tahadhari.

Nchi za Africa ambazo zimeweza kurusha Satelite angani na matumizi yake ni kama ifuatavyo;_


· Misri

Misri wana satellite kama EgyptSat 1 na EgyptSat 2 ambazo wanazitumia kwa matumizi mbalimbali kwa ajili ya kuleta tija kwenye shughuli zao za uchumi. Mwaka huu 2017 wanapanga kurusha Satelite ya DesertSat kwa ajili ya ulinzi na usiamimizi wa maliasili zao ambazo zipo maeneo ya jangwani ili ziweze kuleta tija katika nchi yao.



· Africa Kusini

Afrika kusini wana satellite nyingi ambazo wamerusha toka mwaka 1999-2015. Sateliete ya Kondor-E waliirusha mwaka 2015 huwa wanaitumia kwa ajili ya matumizi ya kijeshi na Satelite nyingne nyingi kama SUNSAT, SumbandilaSat kwa ajili ya matumizi mbalimbali yanayoleta tija kwenye taifa lao n.k


· Morocco

Morocco pia wana satellite mbalimbali pia ifikapo Novemba 2017 watarusha satellite yao nyingine ambayo itatumika kwa shughuli za kijamii na kijeshi ambapo wametumia takribani Euro 500 Million kutaka kufanikisha hilo .


· Algeria

Algeria nao walianza tafiti na hatua za urushaji wa satellite toka miaka ya 2002. Algeria wana satellite zao kama Alsat-1B ambayo inatuamika kwa ajili ya uchukuaji taarifa katika maswala ya kilimo na taarifa za majanga kama vimbunga na matetemeko.

Alsat-2A wanaitumia kwa ajili ya upigaji picha za anga ambazo zinazotumika kwenye taasisi zao kama za kilimo, upimaji ardhi na mamlaka ya hali ya hewa.


· Nijeria

Wanaijeria wanazitumia sana Satellite zao kama SatX na Sat 2 ambazo zipo angani kwa ajili ya kufanya uangalizi wa vyazo vya mafuta kule Niger Delta, chaguzi mbalimbali kwa ajili ya ubainishaji wapiga kura na shughuri za kiusalama na kijeshi wakati wa kutafuta maficho ya Boko Haram pamoja na utafutaji wa watoto 273 waliotekwa kule Chibok mwaka 2014 zilitumika sana.



· Ghana

Mwaka huu 2017 Ghana wamerusha ya kwao inaitwa GhanaSat-1, ni satellite ndogo kabisa na ni satellite ya kwanza kurushwa nchini Ghana wakishirikiana na Mamalaka ya anga ya Japani JAXA (Japanese Aerospace Exploration Agency) imewaghalimu takribani Dola 50,000/=, wanaitumia kwa ajili ya upigaji wa picha za anga nchini Ghana.

MASWALI YANGU

Je Tanzania ina mikakati gani kuhusu au wazo la kurusha satellite angani kwa ajili ya matumizi kijamii na kiuchumi ili kuliletea tija Taifa letu ?

Je maproffesa wetu wanajipanga vipi kufanikisha hili?

Je Serikali inaweza kuweka bajeti ya kusomesha wadogo zetu kwenye Sayansi ya anga ili kuleta tija ya kufanikisha ndoto yetu ya kurusha hata satellite moja ndogo kama waliorusha wenzetu wa Ghana mwaka huu 2017 yenye Launch mass ya 1 Kilogramu(Kg)?

Je kuna fungu lolote huwa linatengwa kwa ajili ya tafiti za sayansi asa za anga ?


Klementos- Jamii Forum
 
inawezekana tukipanga.
ila swali lako linakufa rasmi kama hakuna popote mpango huo
 
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa matumizi ya satellite ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi husika asa kwenye sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Matumzi ya satellite yanasaidia kuchukua taarifa za Duniani kwenye maswala ya uboreshaji wa kilimo, kijeshi, uchaguzi, afya, hali ya hewa na pia kupata taarifa kwa haraka zinazohusu vimbunga na matetemeko ili mamlaka zilizopo nchi hizo kutoa tahadhari za majanga kabla ya kutokea au serikali kujipanga kwa ajili ya kuchukua tahadhari.

Nchi za Africa ambazo zimeweza kurusha Satelite angani na matumizi yake ni kama ifuatavyo;_


· Misri

Misri wana satellite kama EgyptSat 1 na EgyptSat 2 ambazo wanazitumia kwa matumizi mbalimbali kwa ajili ya kuleta tija kwenye shughuli zao za uchumi. Mwaka huu 2017 wanapanga kurusha Satelite ya DesertSat kwa ajili ya ulinzi na usiamimizi wa maliasili zao ambazo zipo maeneo ya jangwani ili ziweze kuleta tija katika nchi yao.



· Africa Kusini

Afrika kusini wana satellite nyingi ambazo wamerusha toka mwaka 1999-2015. Sateliete ya Kondor-E waliirusha mwaka 2015 huwa wanaitumia kwa ajili ya matumizi ya kijeshi na Satelite nyingne nyingi kama SUNSAT, SumbandilaSat kwa ajili ya matumizi mbalimbali yanayoleta tija kwenye taifa lao n.k


· Morocco

Morocco pia wana satellite mbalimbali pia ifikapo Novemba 2017 watarusha satellite yao nyingine ambayo itatumika kwa shughuli za kijamii na kijeshi ambapo wametumia takribani Euro 500 Million kutaka kufanikisha hilo .


· Algeria

Algeria nao walianza tafiti na hatua za urushaji wa satellite toka miaka ya 2002. Algeria wana satellite zao kama Alsat-1B ambayo inatuamika kwa ajili ya uchukuaji taarifa katika maswala ya kilimo na taarifa za majanga kama vimbunga na matetemeko.

Alsat-2A wanaitumia kwa ajili ya upigaji picha za anga ambazo zinazotumika kwenye taasisi zao kama za kilimo, upimaji ardhi na mamlaka ya hali ya hewa.


· Nijeria

Wanaijeria wanazitumia sana Satellite zao kama SatX na Sat 2 ambazo zipo angani kwa ajili ya kufanya uangalizi wa vyazo vya mafuta kule Niger Delta, chaguzi mbalimbali kwa ajili ya ubainishaji wapiga kura na shughuri za kiusalama na kijeshi wakati wa kutafuta maficho ya Boko Haram pamoja na utafutaji wa watoto 273 waliotekwa kule Chibok mwaka 2014 zilitumika sana.



· Ghana

Mwaka huu 2017 Ghana wamerusha ya kwao inaitwa GhanaSat-1, ni satellite ndogo kabisa na ni satellite ya kwanza kurushwa nchini Ghana wakishirikiana na Mamalaka ya anga ya Japani JAXA (Japanese Aerospace Exploration Agency) imewaghalimu takribani Dola 50,000/=, wanaitumia kwa ajili ya upigaji wa picha za anga nchini Ghana.

MASWALI YANGU

Je Tanzania ina mikakati gani kuhusu au wazo la kurusha satellite angani kwa ajili ya matumizi kijamii na kiuchumi ili kuliletea tija Taifa letu ?

Je maproffesa wetu wanajipanga vipi kufanikisha hili?

Je Serikali inaweza kuweka bajeti ya kusomesha wadogo zetu kwenye Sayansi ya anga ili kuleta tija ya kufanikisha ndoto yetu ya kurusha hata satellite moja ndogo kama waliorusha wenzetu wa Ghana mwaka huu 2017 yenye Launch mass ya 1 Kilogramu(Kg)?

Je kuna fungu lolote huwa linatengwa kwa ajili ya tafiti za sayansi asa za anga ?

Daaah bonge la thought . I think wanayansi wetu wana maswal ya kutujibu

Klementos- Jamii Forum
 
Ndio maana waalinu wa sayansi wanapewa kipaumbele, penye nia pana njia, tumuunge raisi mkono ndoto itatimia. Hata hivyo waalinu wa sayansi wakiwa wengi bado tupambane na uchumi ili hali ituruhusu kurusha chombo
 
Nadhani Baadae sana aisee
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa matumizi ya satellite ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi husika asa kwenye sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Matumzi ya satellite yanasaidia kuchukua taarifa za Duniani kwenye maswala ya uboreshaji wa kilimo, kijeshi, uchaguzi, afya, hali ya hewa na pia kupata taarifa kwa haraka zinazohusu vimbunga na matetemeko ili mamlaka zilizopo nchi hizo kutoa tahadhari za majanga kabla ya kutokea au serikali kujipanga kwa ajili ya kuchukua tahadhari.

Nchi za Africa ambazo zimeweza kurusha Satelite angani na matumizi yake ni kama ifuatavyo;_


· Misri

Misri wana satellite kama EgyptSat 1 na EgyptSat 2 ambazo wanazitumia kwa matumizi mbalimbali kwa ajili ya kuleta tija kwenye shughuli zao za uchumi. Mwaka huu 2017 wanapanga kurusha Satelite ya DesertSat kwa ajili ya ulinzi na usiamimizi wa maliasili zao ambazo zipo maeneo ya jangwani ili ziweze kuleta tija katika nchi yao.



· Africa Kusini

Afrika kusini wana satellite nyingi ambazo wamerusha toka mwaka 1999-2015. Sateliete ya Kondor-E waliirusha mwaka 2015 huwa wanaitumia kwa ajili ya matumizi ya kijeshi na Satelite nyingne nyingi kama SUNSAT, SumbandilaSat kwa ajili ya matumizi mbalimbali yanayoleta tija kwenye taifa lao n.k


· Morocco

Morocco pia wana satellite mbalimbali pia ifikapo Novemba 2017 watarusha satellite yao nyingine ambayo itatumika kwa shughuli za kijamii na kijeshi ambapo wametumia takribani Euro 500 Million kutaka kufanikisha hilo .


· Algeria

Algeria nao walianza tafiti na hatua za urushaji wa satellite toka miaka ya 2002. Algeria wana satellite zao kama Alsat-1B ambayo inatuamika kwa ajili ya uchukuaji taarifa katika maswala ya kilimo na taarifa za majanga kama vimbunga na matetemeko.

Alsat-2A wanaitumia kwa ajili ya upigaji picha za anga ambazo zinazotumika kwenye taasisi zao kama za kilimo, upimaji ardhi na mamlaka ya hali ya hewa.


· Nijeria

Wanaijeria wanazitumia sana Satellite zao kama SatX na Sat 2 ambazo zipo angani kwa ajili ya kufanya uangalizi wa vyazo vya mafuta kule Niger Delta, chaguzi mbalimbali kwa ajili ya ubainishaji wapiga kura na shughuri za kiusalama na kijeshi wakati wa kutafuta maficho ya Boko Haram pamoja na utafutaji wa watoto 273 waliotekwa kule Chibok mwaka 2014 zilitumika sana.



· Ghana

Mwaka huu 2017 Ghana wamerusha ya kwao inaitwa GhanaSat-1, ni satellite ndogo kabisa na ni satellite ya kwanza kurushwa nchini Ghana wakishirikiana na Mamalaka ya anga ya Japani JAXA (Japanese Aerospace Exploration Agency) imewaghalimu takribani Dola 50,000/=, wanaitumia kwa ajili ya upigaji wa picha za anga nchini Ghana.

MASWALI YANGU

Je Tanzania ina mikakati gani kuhusu au wazo la kurusha satellite angani kwa ajili ya matumizi kijamii na kiuchumi ili kuliletea tija Taifa letu ?

Je maproffesa wetu wanajipanga vipi kufanikisha hili?

Je Serikali inaweza kuweka bajeti ya kusomesha wadogo zetu kwenye Sayansi ya anga ili kuleta tija ya kufanikisha ndoto yetu ya kurusha hata satellite moja ndogo kama waliorusha wenzetu wa Ghana mwaka huu 2017 yenye Launch mass ya 1 Kilogramu(Kg)?

Je kuna fungu lolote huwa linatengwa kwa ajili ya tafiti za sayansi asa za anga ?


Klementos- Jamii Forum
jeshi letu bado wapo kwenye technologia ya kuvunja mabanzi na matofali kwa mikono kuelekea karne ya 22
 
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa matumizi ya satellite ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi husika asa kwenye sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Matumzi ya satellite yanasaidia kuchukua taarifa za Duniani kwenye maswala ya uboreshaji wa kilimo, kijeshi, uchaguzi, afya, hali ya hewa na pia kupata taarifa kwa haraka zinazohusu vimbunga na matetemeko ili mamlaka zilizopo nchi hizo kutoa tahadhari za majanga kabla ya kutokea au serikali kujipanga kwa ajili ya kuchukua tahadhari.

Nchi za Africa ambazo zimeweza kurusha Satelite angani na matumizi yake ni kama ifuatavyo;_


· Misri

Misri wana satellite kama EgyptSat 1 na EgyptSat 2 ambazo wanazitumia kwa matumizi mbalimbali kwa ajili ya kuleta tija kwenye shughuli zao za uchumi. Mwaka huu 2017 wanapanga kurusha Satelite ya DesertSat kwa ajili ya ulinzi na usiamimizi wa maliasili zao ambazo zipo maeneo ya jangwani ili ziweze kuleta tija katika nchi yao.



· Africa Kusini

Afrika kusini wana satellite nyingi ambazo wamerusha toka mwaka 1999-2015. Sateliete ya Kondor-E waliirusha mwaka 2015 huwa wanaitumia kwa ajili ya matumizi ya kijeshi na Satelite nyingne nyingi kama SUNSAT, SumbandilaSat kwa ajili ya matumizi mbalimbali yanayoleta tija kwenye taifa lao n.k


· Morocco

Morocco pia wana satellite mbalimbali pia ifikapo Novemba 2017 watarusha satellite yao nyingine ambayo itatumika kwa shughuli za kijamii na kijeshi ambapo wametumia takribani Euro 500 Million kutaka kufanikisha hilo .


· Algeria

Algeria nao walianza tafiti na hatua za urushaji wa satellite toka miaka ya 2002. Algeria wana satellite zao kama Alsat-1B ambayo inatuamika kwa ajili ya uchukuaji taarifa katika maswala ya kilimo na taarifa za majanga kama vimbunga na matetemeko.

Alsat-2A wanaitumia kwa ajili ya upigaji picha za anga ambazo zinazotumika kwenye taasisi zao kama za kilimo, upimaji ardhi na mamlaka ya hali ya hewa.


· Nijeria

Wanaijeria wanazitumia sana Satellite zao kama SatX na Sat 2 ambazo zipo angani kwa ajili ya kufanya uangalizi wa vyazo vya mafuta kule Niger Delta, chaguzi mbalimbali kwa ajili ya ubainishaji wapiga kura na shughuri za kiusalama na kijeshi wakati wa kutafuta maficho ya Boko Haram pamoja na utafutaji wa watoto 273 waliotekwa kule Chibok mwaka 2014 zilitumika sana.



· Ghana

Mwaka huu 2017 Ghana wamerusha ya kwao inaitwa GhanaSat-1, ni satellite ndogo kabisa na ni satellite ya kwanza kurushwa nchini Ghana wakishirikiana na Mamalaka ya anga ya Japani JAXA (Japanese Aerospace Exploration Agency) imewaghalimu takribani Dola 50,000/=, wanaitumia kwa ajili ya upigaji wa picha za anga nchini Ghana.

MASWALI YANGU

Je Tanzania ina mikakati gani kuhusu au wazo la kurusha satellite angani kwa ajili ya matumizi kijamii na kiuchumi ili kuliletea tija Taifa letu ?

Je maproffesa wetu wanajipanga vipi kufanikisha hili?

Je Serikali inaweza kuweka bajeti ya kusomesha wadogo zetu kwenye Sayansi ya anga ili kuleta tija ya kufanikisha ndoto yetu ya kurusha hata satellite moja ndogo kama waliorusha wenzetu wa Ghana mwaka huu 2017 yenye Launch mass ya 1 Kilogramu(Kg)?

Je kuna fungu lolote huwa linatengwa kwa ajili ya tafiti za sayansi asa za anga ?


Klementos- Jamii Forum
Na wewe usichanganye mambo mkuu, hebutulia tumalizane na viwander kwanza.
 
Mipango ya millenia hiyo,, yani miaka elfu moja inshort
 
Tunabana matumizi
Kweli! Tunabana matumizi kwa kununua brand new LC200 limousine, na LC200 za mwaka 2017 kwa mawaziri na vigogo wengine wote.
Bila kusahau kusafiri nchi nzima kwa msafara wa magari 10+
 
miaka 1000 ijayo..inshallah!

labda mkaombe kuundiwa satellite yenu huko chi za watu thn wawaletee...

wasomi wemu wa kuwafanyia hayo hapo keaho ndo mnaowanyanyasa leo..hamjui tu?
kijana anakutana na usumbufu wa kutoaha kuanzia procesa za kujiunga..mikopo..makazi etc
vitendea kazi duni..mazingira chuoni sio rafiki.maprofesaor vilaza..
sidhani kama itatokea

kama tunahitaji kufanikiaha hili inabidi tuanze kurekebisha mfumo wetu wa elimu.
kuanzia chini kabisa hadi vyuo vikuu.
 
Haitakuwa muda mrefu kwa kuwa sasa kuna mradi mkubwa wa ujenzi wa jiji la sayansi, teknolojia na ubunifu "Tanzanite City" huko Mbeya.
Kwenye hilo jiji watu wenye vipaji na hasa vijana wanaohitimu toka vyuo katika fani za sayansi na teknolojia watakuwa wanawekwa kwenye kambi maalum na kupewa majumu ya kubuni teknolojia mahsusi na kuanzisha viwanda watakavyovimiliki kwa pamoja na watanzania wengine kupitia Klabu ya Marafiki wa Tanzanite City.
Lengo ni kujenga uwezo Wetu wa ndani katika maswala ya teknolojia na kuondoa utegemezi wetu kwa mataifa nje kama China na India, tunataka badala ya kuwa wchuuzi TECNO toka Asia,; tuunde na kuuza TECNO zetu. Tunachotakiwa ni kuunga mkono huu mradi kwa kijiunga na Klabu ya marafiki way Tanzanite city ili tushiriki moja kwa moja katika kuleta mapinduzi ya teknolojia.
 
Back
Top Bottom