Je, ni masharti gani umewahi kupewa na mpenzi wako mpaka ukajiuliza huyu ananichukuliaje?

Mimi niliambiwa nisiwe najamba mbele yake, aisee hakuchukua muda nikamuachia kitu cha Yusuphuuuuuu
Asa mwanaume inakuaje unaachia ushuz mbele ya mtoto mkal
 
Mkuu ....ungefanya hivi.....kabla ya gemu.....mpeleke washroom .....zuga kama mnataka muoge wote then unamsafisha
 
Hayo masharti yalikuwa nafuu mno..... Sijui ulifeli wapi . Hata mwanamke ninaye muhudumia akinipa hayo masharti nitayatekeleza maana ni mepesi.
Daaaah mkuu......kuish kwa mashart ni kipengele sana
 
Ati mzabzab unatakiwa unigegede mie peke ..nikaona huyu mjinga ni wakumpiga chini tuu. Papuchi zote zimejaa duniani nigegedage yako peke yako tuu kwani mie sina hela.

Mpuuzi mwengine alikuwa single maza mmoja kwa kweli huyu mrembo alikuwa anajua kugegedana ...the best i ever had ila sii akaanza oh unajua mzabzab unatakiwa umpende na mwanangu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nikaona wakati wa kusepa umefika
 
Sasa wewe ulifata papuchi yake au mtoto ujue watu huchaganya madesa hapo sasa
 
Sasa wewe ulifata papuchi yake au mtoto ujue watu huchaganya madesa hapo sasa
Tatizo ndio hilo wanashindwa kutambua kuwa kilichofuatwa hapo ni mbususu sio mtoto. Tungepata wanawake wanaojielewa kama wewe mbona life lingekuwa poa sana. Kwa kweli shemeji anafaidi kuwa nawe
 
Tatizo ndio hilo wanashindwa kutambua kuwa kilichofuatwa hapo ni mbususu sio mtoto. Tungepata wanawake wanaojielewa kama wewe mbona life lingekuwa poa sana. Kwa kweli shemeji anafaidi kuwa nawe
Hawa watu wanakera sana, mie nipenda gegedo lako Sasa kumpenda mtoto ananihusu nini Mimi, wajirekebishe Wana haribu ladha ya mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…