newbeliever
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 248
- 48
Mkuu yaan sehemu nyingi zipo saloon afu hata wasio jua na wanaojua wote humo humo.Chanagmoto za Mwanza ni zipi mkuu ebu tuanzie hapo ili twende sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa sasa nataman kujua sehemu/mkoa mengine nitaweza jiongeza mkuuKwenye biashara hutakiwi kusubiri uambiwe ni wapi ukafungue biashara yako, Fanyia kazi mawazo yako.
Changamoto zikijitokeza ndio utapata jibu sahihi la swali lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwanza watoa huduma washakuwa wengi n competition ni kubwa, nataman kwenda sehemu mpya kuanzisha na kujenga jina langufanyia hapo hapo mwanza ila ongeza ubunifu zaidi,huduma nzuri pia jufunze mambo mapya kwenye hiyo fani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba wewe unishauri sasa, kwa Tanzania hii ukiitoa Mwanza kama angelikuwa ni wewe ungefungua hii biashara mkoa gani? I mean kwako wewe ni mkoa upi unafikiri wanawake wanapenda kupendeza zaidi?Moja ya jambo la kushauri ni utazame wapi Wanawake na Mabinti wanapenda kupendeza (Mikoa mingine Wanawake wamewekeza nguvu kwenye kilimo na ujasiriamali)
Ikiwa Daslam, Arusha, Mwanza na Dodoma wameliteka soko tayari jaribu kusogea Mara au Kagera (Bukoba).
Kila lenye kheri.
Ningelikuwa mimi baada ya kuwepo competition Daslam, Arusha, Dodoma, Mbeya huku nipo Mwanza ningeliweka majeshi yangu Bukoba Municipal kutumia fursa zilizolaliwa na wazawa.Mkuu naomba wewe unishauri sasa, kwa tanzania hii ukiitoa mwanza kama angelikuwa ni wewe ungefungua hii biashara mkoa gani ? I mean kwako wewe ni mkoa upi unafikiri wanawake wanapenda kupendeza zaidi! ?? Nitashukuru kwa jibu lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu, Vip Moshi unapaonaje? Na vip dsm maeneo ya msimbazi? Maana pale ni city center ijapokuwa zipo huduma za saloon pale ila nahisi nyingi zinazofahamika zaidi zipo maeneo ya pemben kama sinza,mwenge etc.Ningelikuwa mimi baada ya kuwepo competition Daslam, Arusha, Dodoma, Mbeya huku nipo Mwanza ningeliweka majeshi yangu Bukoba Municipal kutumia fursa zilizolaliwa na wazawa.
Sababu kubwa ni Ke wa maeneo hayo kupenda Urembo, Ukaribu wa kuamisha biashara na kutumia fursa zilizo wazi.
Dar es Salaam au Moshi inawezekana lakini nilichokiangalia ni demand! Uhitaji.Asante Mkuu, Vip Moshi unapaonaje? Na vip dsm maeneo ya msimbazi? Maana pale ni city center ijapokuwa zipo huduma za saloon pale ila nahisi nyingi zinazofahamika zaidi zipo maeneo ya pemben kama sinza,mwenge etc.
Am just asking Sir
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu kuna competition na competition aisee! Kuna sehemu unakuta wanatoa hizi huduma lakin ukiwaangalia unaona kuna gape flani hiv. Na kuna sehemu ukiwaangalia unakosa nafasi maana kila pembe kuna saloon.Kahama, babat, dom ,karatu,arusha stand ndogo, dsm mwenge ,tegeta, kkoo,kinondon , survery njia ya UDSM competition utakutana nazo tu popote sababu biashara yako sio mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu, Vip Moshi unapaonaje? Na vip dsm maeneo ya msimbazi? Maana pale ni city center ijapokuwa zipo huduma za saloon pale ila nahisi nyingi zinazofahamika zaidi zipo maeneo ya pemben kama sinza,mwenge etc.
Am just asking Sir
Sent using Jamii Forums mobile app