Don Moen JF-Expert Member Joined Nov 12, 2020 Posts 1,636 Reaction score 3,142 Feb 27, 2023 #21 mawardat said: Lakini basi tu,sitakagi kukumbuka japo ni historia ktk maisha yangu/family, Mungu ni mwema. Click to expand... Mungu akusimamie mdogo wangu usikate tamaa
mawardat said: Lakini basi tu,sitakagi kukumbuka japo ni historia ktk maisha yangu/family, Mungu ni mwema. Click to expand... Mungu akusimamie mdogo wangu usikate tamaa
Hoffenheim JF-Expert Member Joined Dec 25, 2022 Posts 1,077 Reaction score 2,505 Feb 27, 2023 #22 Mama pretty said: Sina haja ya kusalimia Click to expand... Wewe ni mshari. Ukisalimia watu unapungukiwa nini? Nyie ndiyo wale huwa hamsalimii watu sasa linapokuja kwenye suala la kusaidiwa kila mmoja anakuacha. Nina mfano hai wa jamaa mmoja, ana hasira muda wote.
Mama pretty said: Sina haja ya kusalimia Click to expand... Wewe ni mshari. Ukisalimia watu unapungukiwa nini? Nyie ndiyo wale huwa hamsalimii watu sasa linapokuja kwenye suala la kusaidiwa kila mmoja anakuacha. Nina mfano hai wa jamaa mmoja, ana hasira muda wote.