Je, ni mtazamo wangu tu au?

Je, ni mtazamo wangu tu au?

Mi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?

J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]
Nshimba ya Bhuyenze
 
Sijui niseme maisha ni magumu sana au sijui niseme utandawazi!!!kwanini mabinti wa vyuo wanakuwa warahisi sana kutongozeka!!

Yan ukigusa imooooo tena ukiwa mwepesi kama lionel messi aloooooo haichukui hata siku mbili yupo geto sasa hapo ukiwa na meno kama ya fisi yaani unakula tu mifupa kwa mrija.

Tena usilogwe ukawapeleka magetoni tena karoom kako kawe kasafi utagandwa mpaka uimbe haleluyaaah.
Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanadanga bila kujali wanachuo, wanafunzi, wake za watu, wajasiriamali, waajiriwa, NK.
 
Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanadanga bila kujali wanachuo, wanafunzi, wake za watu, wajasiriamali, waajiriwa, NK.

Ni vitaa muraaaaa yan ni balaa tena wengin wanaomba mpk kero sas
 
Back
Top Bottom