the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
- Thread starter
- #41
Inategemea hata uswahilini wapo kibao nafikiri ni kutokana na hali ngumu ya maisha, Mungu atusaidie.
Sikuiz wanawake wamedemka[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea hata uswahilini wapo kibao nafikiri ni kutokana na hali ngumu ya maisha, Mungu atusaidie.
Gīnehe nkoyi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bhageshi!!
Aibu tupu yaani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji28] Ngoshaaaa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gīnehe nkoyi?
Hayaga gamhayo gawiza nayege ūnene nkoyi [emoji16][emoji16]
Hapa nao tatizo lilikuwa salioSio wote mkuu.
Huwezi amini kuna manzi nilimfuatilia semister mbili na sikumpata
Nshimba ya BhuyenzeMi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?
J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]
Njoo PM nikutafsrie [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yawa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Mie sikielewi jamani.
Sijambo baba, habari ya weye?Njoo PM nikutafsrie [emoji16][emoji16][emoji16]
Hujambo?
Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanadanga bila kujali wanachuo, wanafunzi, wake za watu, wajasiriamali, waajiriwa, NK.Sijui niseme maisha ni magumu sana au sijui niseme utandawazi!!!kwanini mabinti wa vyuo wanakuwa warahisi sana kutongozeka!!
Yan ukigusa imooooo tena ukiwa mwepesi kama lionel messi aloooooo haichukui hata siku mbili yupo geto sasa hapo ukiwa na meno kama ya fisi yaani unakula tu mifupa kwa mrija.
Tena usilogwe ukawapeleka magetoni tena karoom kako kawe kasafi utagandwa mpaka uimbe haleluyaaah.
Uwezo wako mdogo mkuuSio wote mkuu.
Huwezi amini kuna manzi nilimfuatilia semister mbili na sikumpata
Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanadanga bila kujali wanachuo, wanafunzi, wake za watu, wajasiriamali, waajiriwa, NK.
Hapana wengine mamanzi wagumuUwezo wako mdogo mkuu
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiHapana wengine mamanzi wagumu
Sawa mkuuHakuna mkate mgumu mbele ya chai
Sio aibu, hiyo ilikuwa ni ajali kazini tu!Aibu tupu yaani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]