Ila yanayoendelea sahivi nabaki nashangaa:
ā Al-Nassr Wametolewa kwenye Riyadh Super Cup
ā Al-Nassr Wametolewa kwenye Saudi Super Cup
ā Al-Nassr Wametolewa kwenye nafasi ya 1 kwenye msimamo wa ligi yao
ā Al-Nassr Wametolewa kwenye Saudi King Cup
Unadhani ni muda sasa wa Cristiano kustaafu?