Je, ni nani anayesoma au kunifuatilia au hata kuni admire mimi superbug humu jamiiforum?

Je, ni nani anayesoma au kunifuatilia au hata kuni admire mimi superbug humu jamiiforum?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Hakuna jambo jema kama kujua unapendwa na watu pia wanakupa attention je mimi Superbug napendwa na je nani wananiadmire humu jamiiforum?

Pia naomba kama wewe ni mpenzi wa kupenda kupendwa basi weka jina la member unayemfwatilia humu.

Binafsi nawafwatilia wengi almaarufu ni Pascal Mayalla na GENTAMYCINE japo huyu popoma kanibloack.
 
Hakuna jambo jema kama kujua unapendwa na watu pia wanakupa attention je mimi Superbug napendwa na je nani wananiadmire humu jamiiforum?

Pia naomba kama wewe ni mpenzi wa kupenda kupendwa basi weka jina la member unayemfwatilia humu.

Binafsi nawafwatilia wengi almaarufu ni Pascal Mayalla na GENTAMYCINE japo huyu popoma kanibloack.
Unapendwa na raraa reree tu maana ndio mtu pekee anae like post ya kila mtu
 
Back
Top Bottom