Unapendwa na raraa reree tu maana ndio mtu pekee anae like post ya kila mtuHakuna jambo jema kama kujua unapendwa na watu pia wanakupa attention je mimi Superbug napendwa na je nani wananiadmire humu jamiiforum?
Pia naomba kama wewe ni mpenzi wa kupenda kupendwa basi weka jina la member unayemfwatilia humu.
Binafsi nawafwatilia wengi almaarufu ni Pascal Mayalla na GENTAMYCINE japo huyu popoma kanibloack.
Hii chuma ya Mkwawa mazee...πMambo gani mkuu ushimeni mzee wa shycom?
Mkuu swali gumu?? πππAisee
Mwaka 2020 nilikua nina miaka 20 tangu nilipo pata ajira mazee..π¦N
Mwaka 2020i ulituma uzi humu kwamba wewe ni graduate wa shycom
Huwa unapost siasa au nini labda maana sisi wengine siasa hatuijuiFwatilia nyuzi zangu sema ccm hawawezi kunipenda.
Labla wanawake wanaweza kumjibuMkuu swali gumu?? πππ
Pole son...π
Leo nimepost mazingira kuungua KWA milima ya uluguru. Je umelike