Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau.
Leo Nimeona nipate Maoni yenu kwa kuzingatia kichwa cha habari Hapo Juu.
Kwa Siku za Mbeleni na kwa kutazama Uhalisia Wa Changamoto Mbalimbali za Kiafya Nchini, Je unaona Nani Atafaa Kuongoza Wizara ya Afya Na kwa Sababu zipi?
Kibinadamu Hakuna awezaye kudumu milele sehemu Moja.
Kuna kupanda na Kushuka
Kuna kushuka na Kupanda
Karibuni Sana mtoe Maoni yenu.
Leo Nimeona nipate Maoni yenu kwa kuzingatia kichwa cha habari Hapo Juu.
Kwa Siku za Mbeleni na kwa kutazama Uhalisia Wa Changamoto Mbalimbali za Kiafya Nchini, Je unaona Nani Atafaa Kuongoza Wizara ya Afya Na kwa Sababu zipi?
Kibinadamu Hakuna awezaye kudumu milele sehemu Moja.
Kuna kupanda na Kushuka
Kuna kushuka na Kupanda
Karibuni Sana mtoe Maoni yenu.