Uchaguzi 2020 Je ni nani wa kujibu hoja hizi za Tundu A Lissu?

Uchaguzi 2020 Je ni nani wa kujibu hoja hizi za Tundu A Lissu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Sioni kama yule mwandishi NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria Bwana Pascal Mayalla Kama anaweza jibu hoja hizi.
Nyani Ngabu the Monkey of the nation anaweza kumung'unya ile lugha inayoliumbua Taifa kupitia liwali aliyepo, lakini kamwe 🦍 Nyani Ngabu hawezi jibu hoja rahisi hata moja ya Tundu Lissu.
 
Nani ana muda wa kujibizana na walishindwa
 
Sioni kama yule mwandishi @NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria @Bwana @Pascal Mayalla
Hakuna nguli hapa, ni takataka tu zimejitweza kwa malofa ya uandishi wa habari.....
 
Sioni kama yule mwandishi @NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria @Bwana @Pascal Mayalla Kama anaweza jibu hoja hizi.
Mkuu 'Bujibuji'
Inawezekana huelewi maana ya neno "Nguli", au pengine unalitumia kwa hadaa.
 
MKAPA alilipa watu wote fao la kujitoa

Kikwete alilipa watu wote fao la kujitoa

Magufuli akaja Kuondoa FAO la na kuleta ubaguzi.

Magufuli...Pesa za NSSF ulipeleka wapi?

CCM mmejaza Mabango barabarani kwa Pesa zipi?
 
Back
Top Bottom