Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwanza baada ya kurekebishwa nidhamu yake, amejirekebishaa??Sioni kama yule mwandishi NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria Bwana Pascal Mayalla Kama anaweza jibu hoja hizi.
Nyani Ngabu the Monkey of the nation anaweza kumung'unya ile lugha inayoliumbua Taifa kupitia liwali aliyepo, lakini kamwe 🦍 Nyani Ngabu hawezi jibu hoja rahisi hata moja ya Tundu Lissu.
https://www.facebook.com/
Nidhamu ya kutaka kumuuza mama yake kwa jogoo wa kuokota barabarani, au nidhamu yake ya kutaka kumpiga shangazi wa msaidizi wake Kisha issue ya korosho?Kwanza baada ya kurekebishwa nidhamu yake, amejirekebishaa??
KARIBU utembelee mbuga ya Burigi Chato iliyo karibu na Chato Airporthakuna wa kujibu kati ya hao mamluki uliotaja
Raisi gani huyooo asiyenanidhamuu?Nidhamu ya kutaka kumuuza mama yake kwa jogoo wa kuokota barabarani, au nidhamu yake ya kutaka kumpiga shangazi wa msaidizi wake Kisha issue ya korosho?
Hata mimi nashangaa?Raisi gani huyooo asiyenanidhamuu?
Don't try to escape. Mjibuni Tundu LissuKARIBU utembelee mbuga ya Burigi Chato iliyo karibu na Chato Airport
Kanda ya ziwa inaanza kuwaka kwa utalii
Ila boss wenu anadhalilisha sana wanawakeNani ana muda wa kujibizana na walishindwa
Hakuna nguli hapa, ni takataka tu zimejitweza kwa malofa ya uandishi wa habari.....Sioni kama yule mwandishi @NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria @Bwana @Pascal Mayalla
Mkuu 'Bujibuji'Sioni kama yule mwandishi @NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria @Bwana @Pascal Mayalla Kama anaweza jibu hoja hizi.