Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 890
- 1,236
Heshima yenu wakuu, niendee kwenye mada.
Vyomba vyetu vya kutoa haki vimekuwa na changamoto nyingi katika kutekeleza haki hususani kwenye kesi zinazohusisha pesa.
Pia mahakama zimekuwa na ukilitimba mwingi katika kutoa haki kwa wanyonge.
Je rahisi ukimshitaki mtu mahakani kwa kosa la jinai kama utapel ambapo mlalamikaji anakuwa Jamhuri na mshitaki kuwa shahidi, Je mlalamkaji usipoonana na hakimu na au wakili wa serikali ili umpe kitu kidogo hatakama una ushahidi je ni rahisi kupata haki yako???
karibu kwa mchango wako.
Vyomba vyetu vya kutoa haki vimekuwa na changamoto nyingi katika kutekeleza haki hususani kwenye kesi zinazohusisha pesa.
Pia mahakama zimekuwa na ukilitimba mwingi katika kutoa haki kwa wanyonge.
Je rahisi ukimshitaki mtu mahakani kwa kosa la jinai kama utapel ambapo mlalamikaji anakuwa Jamhuri na mshitaki kuwa shahidi, Je mlalamkaji usipoonana na hakimu na au wakili wa serikali ili umpe kitu kidogo hatakama una ushahidi je ni rahisi kupata haki yako???
karibu kwa mchango wako.