Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Kuoa Mwanamke mkubwa kiumri inataka moyo wa chuma, na chuma hua kinashika kutuHapo ni guardian angel msaa wa Kenya na mkewe Esther musila. Mke ana miaka 53 kama sijakosea na mume ana miaka 20 something au 30 something.
Issue ya kumuoa huyo mama mtoto wako au kutokumuoa ni uamuzi wako binafsi
View attachment 2917847
Huyu jamani, me naona wafunge tu ndoa!!
Wewe umeolewa na umri mdogoHuyu jamani, me naona wafunge tu ndoa!!
Anampenda na wameshazaa...
Umri ni number tuu!!!
Mambo mengine watajua mbeleni...
Maana hata wanao oa watoto wadogo ndoa zao hazipo perfect!!!!
Mimi nimeolewa na umri mkubwaaaaWewe umeolewa na umri mdogo
Hapo ni guardian angel msaa wa Kenya na mkewe Esther musila. Mke ana miaka 53 kama sijakosea na mume ana miaka 20 something au 30 something.
Issue ya kumuoa huyo mama mtoto wako au kutokumuoa ni uamuzi wako binafsi
View attachment 2917847
Kwavile mambo yameshakua mengi (mmeshazaa) na unasema mnapendana, mimi nakushauri we muoe huyo shangazi. Yeye muweke ndani atakua mama wa watoto wako.Habar wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, Mimi Nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8 uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu Mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua Mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa,
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka Sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana yan nishapenda.
Je swali langu ni sahihi tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.
Vice versa is true, huwezi kukubari uolewe na kijana mdogoMimi nimeolewa na umri mkubwaaaa
Sio Shangazi huyo ni Bibimuoe huyo shangazi
Lakini mtaani wapo na tunawaona au tusubirii wata achana?Vice versa is true, huwezi kukubari uolewe na kijana mdogo
Mfano mdogo wewe una miaka 14
14-8 = 6
Yaan utakubari kweli kiingie hapo cha huyo mtoto wa miaka 6, ushanielewa? Alafu mbaya zaidi mnawahi kuzeeka ukifika 40 tu Jamaa anakukataa ye yupo 32 bado kijana barobaro kabisa, miaka 8 sio kodogo
Yes wapo mtaani tena wengi tu wanaishi na Maisha yanaenda vizuri tu,Lakini mtaani wapo na tunawaona au tusubirii wata achana?