Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mie sina cha kukushauri mkuu we oa tu si umempenda mwenyeweNifanyaje
We baharia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwanini
Umri hauna mauhusiano na mapenzi mkuu!Habari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.
Tumetifautiana miezi yaani kanizidi miezi 4 nilioa kwakuwa sikujua kwani cheti chake cha kuzaliwa kaongeza mwaka mmojaHabari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.
Ni kweli mkuu wanawake wakubwa ni wazuri kwenye utafutaji wengi wamekomaa kiakili huwa wanapambana sana ila kwenye suala la heshima wako vibaya sana ni wana dharau sana na cku zote wanaume tunapenda kuheshimiwa na wake zetuKiakili tayari kakuzidi huyo tafuta unayemzidi iko siku utashukuru na iko siku utajuta
Mna miaka mingapHabari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.