Je, ni sahihi kufunga ndoa na mwanamke aliyenizidi miaka 8?

Je, ni sahihi kufunga ndoa na mwanamke aliyenizidi miaka 8?

Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.

Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Umri hauna mauhusiano na mapenzi mkuu!

Kama unafuraha ukiwa nae,ukiwa peke yako unamfurahia ukimuwaza!!Go for it for your happiness!!!!

Kama unaiogopa ndoa yaani ukiiwaza ndoa unaiogopa usifunge ishi nae TU!

Why!!?

Coz anaweza kuwa mwema kwako akiyataka makaratasi tu ya ndoa ambayo Yana faida Kwa mwanamke na sio mwanamme!!


MATATIZO HUANZA BAADA YA KUFUNGA NDOA,WENZETU WAKIKIPATA WALICHOKUA WANAKITAKA HUBADILIKA SANA NA SARAKASI HUANZIA HAPO!!
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.

Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Tumetifautiana miezi yaani kanizidi miezi 4 nilioa kwakuwa sikujua kwani cheti chake cha kuzaliwa kaongeza mwaka mmoja

Ebanaee alivyojua birthday yangu ya kweli izo zarau najuta kwanini nmeioa hii mbuzi hapa namtafutia sababu cku akiingia king namtimulia mbali.

Ushauri kwako sina mkuu kwani mapenzi hayana formula kila mtu anapuyanga kivyake
 
Kiakili tayari kakuzidi huyo tafuta unayemzidi iko siku utashukuru na iko siku utajuta
Ni kweli mkuu wanawake wakubwa ni wazuri kwenye utafutaji wengi wamekomaa kiakili huwa wanapambana sana ila kwenye suala la heshima wako vibaya sana ni wana dharau sana na cku zote wanaume tunapenda kuheshimiwa na wake zetu
 
Sasa unataka kushauriwa eneo gani?

Mtoto umeshapata nae, mnaishi pamoja, mna miaka 3 ya mahusiano, unampenda na yeye anakupenda, sasa shida ipo wapi?

Umri sio tatizo kama mnawezana. Ila ingekuwa ndio kwanza mnaanza ningesema unakwenda kukosea na unaingia choo cha kike ila kwa hapa umeshaingia tayari nenda tu kwao katoe posa, toa mahari tembeza kadi hizo za michango kiwake.
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.

Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Mna miaka mingap
 
Back
Top Bottom