Je, ni sahihi kufunga ndoa na mwanamke aliyenizidi miaka 8?

Je, ni sahihi kufunga ndoa na mwanamke aliyenizidi miaka 8?

Usahihi wa kufunga ndoa, unajengwa katika msingi mkuu wa UPENDO (kupendana) na umri unaokubalika katika jamii wa kuoa ama kuolewa.

Hata kama amekuzidi miaka 30 as long as Mnapendana OANENI
Sawa boss
 
Mkuu Mimi sikushauri umuoe huyo Bibi wanaume tunapenda ndogo ndogo kuna umri utafika huyo utamuona hapana hapa nilikosea njia huyu Bibi aliniwekea Dawa gani kwani maana ni km umerogwa vile miaka 8 sio kidogo, unaoaje Bibi kikongwe hawa wadogo wadogo wameisha au?
[emoji849]
 
Habar wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, Mimi Nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8 uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu Mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua Mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa,

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka Sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana yan nishapenda.

Je swali langu ni sahihi tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Hata akikuzidi 50 ni sahihi
 
Kwavile mambo yameshakua mengi (mmeshazaa) na unasema mnapendana, mimi nakushauri we muoe huyo shangazi. Yeye muweke ndani atakua mama wa watoto wako.
Hawa dogodogo wa nje si utaendelea kujichapia tu kama kawaida kwani kuna tatizo?
Nimekuelewa mkuu
 
Ujinga mwingine ndiyo huu sasa, three years mnafanya zinaa hadi mtoto hukujua kakuzidi umri.

Umepagawa naye unaona ukimuacha wengine watafaidi ndipo unashtuka hivi 'umri utafaa kweli na huyu kikongwe?'

Wewe mwambie akuoe msongeze maisha, huyo ni chagua lako hakuna mwengine zaidi yake, huyo ni chaguo lako!.
 
Hio ni fursa mkuu especially kama mwanamke ni mrembo kama Zarinah Hassan mama tiffa ila awe na mpunga tu na awe ndio amezaa mtoto pekee na wewe. Kama lishangazi halina hela ni kujidhulumu kwani hata mabinti wadogo wanapenda wazee ila sio kama akina majuto na mhogo mchungu😂
 
Habar wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, Mimi Nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8 uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu Mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua Mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa,

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka Sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana yan nishapenda.

Je swali langu ni sahihi tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Rais wa Ufaransa alimuoa Mwalimu wake wa Hesabu alipokuwa Sekondari. Mapenzi yana nguvu sana na mapenzi yana sababu nzito kwa mtazamo wa yule anayependa. mfano wewe unaweza kutoa sababu kuwa anajua sana kulea. Atamlea mwanao atakulea na wewe pia.
 
Hio ni fursa mkuu especially kama mwanamke ni mrembo kama Zarinah Hassan mama tiffa ila awe na mpunga tu na awe ndio amezaa mtoto pekee na wewe. Kama lishangazi halina hela ni kujidhulumu kwani hata mabinti wadogo wanapenda wazee ila sio kama akina majuto na mhogo mchungu[emoji23]
Mtoto wake wakike nimempita miaka 16.
 
Kwa vyovyote unampenda sana ndiyo maana mna Mtoto kilichopo funga naye Ndoa mlee Mtoto/Watoto wenu.
 
Habari wakuu,

Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.

Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.

Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?

Naombeni ushauri wenu.
Ishi nae uchumba sugu, ndoa funga ukiwa unakaribia kufa
 
Back
Top Bottom