Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi wengine hufutia mpaka kwenye makalio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo ni mataulo unaweza kulisimamisha likasimama kama bati kwa ya kufutiwa manii.
Mwanaume wa Dar[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787], kitu nyororo
Umeumaliza mwendo dogo... mataulo haya naona si salama kwa ngozi yangu nyororo niliyonayo....
Wakuu nipo mda huu gesti. Nimeoga tayari sasa nahitaji kujifuta. Ila hii gesti ni zile za short time. Mataulo haya naona si salama kwa ngozi yangu nyororo niliyonayo. Je usafi wa Mataulo ya gesti huwaga ni wa kuridhisha?.
Mimi huwa natumia mataulo ya hotelini tu kwa mfano Gran Melia ni mwendo wa mataulo mapya tu kwani huwezi lipia million 2 halafu utumie taulo alilotumia mtu mwingine tena Dem mwenye fungus sugu alilitumia Jana yake hata Kama lifuliwe na nini NoWakuu nipo mda huu gest. Nimeoga tayari sasa nahitaji kujifuta. Ila hii gest ni zile za short time. Mataulo haya naona si salama kwa ngozi yangu nyororo niliyonayo. Je usafi wa Mataulo ya gest huwaga niwakuridhisha?
Kwanini, elezeampwayungu ukiwa ndotoni ukaota choo usikitumie maishaaaa..
inaenda kula kwako
[emoji23]Umeumaliza mwendo dogo
One man down comrade
I repeat
One man down ovaa
KIAYI [emoji23][emoji23]Mimi huwa natumia mataulo ya hotelini tu kwa mfano Gran Melia ni mwendo wa mataulo mapya tu kwani huwezi lipia million 2 halafu utumie taulo alilotumia mtu mwingine tena Dem mwenye fungus sugu alilitumia Jana yake hata Kama lifuliwe na nini No
Ndivyo unavyo fanyaga na mpenzioSio sahihi, inabidi demu wako aje na kanga au kitenge viwe 2, chako na chake...
Mtumie kuogea tu...
Maana Taulo za gesti zinatumika na watu wengi sio salama...
UZINZI ni dhambi...
HhahaaaUmeumaliza mwendo dogo
One man down comrade
I repeat
One man down ovaa
Aina ya wanaume mafimafi sana kila siku kufungua nyuzi za hovyo hovyo.Wakuu nipo mda huu gesti. Nimeoga tayari sasa nahitaji kujifuta. Ila hii gesti ni zile za short time. Mataulo haya naona si salama kwa ngozi yangu nyororo niliyonayo. Je usafi wa Mataulo ya gesti huwaga ni wa kuridhisha?
Lakini u mzoefu Dona..Sio sahihi, inabidi demu wako aje na kanga au kitenge viwe 2, chako na chake...
Mtumie kuogea tu...
Maana Taulo za gesti zinatumika na watu wengi sio salama...
UZINZI ni dhambi...