Je ni sahihi kukataa kumtibu mtu kisa ni mtu mzima unayemuheshimu

Je ni sahihi kukataa kumtibu mtu kisa ni mtu mzima unayemuheshimu

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
 
Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Waambie sawa waendelee ila wasije kukusumbua baadae
 
Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Wewe ni doctor?
 
Ndio ni sahihi ndio maana hakuna mambo ya umri ukishakuwa daktari wewe watibu tu achana na mambo ya aibu Hayo ni mambo ya kawaida kwa madaktari.
 
Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Kama umesomea udaktar si vzur kumtibu mtu wa karibu sababu ikitokea kafa yanaeeza zuka maneno
 
Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Dogo bado unaendelea na nyuzi zako za kiuanafunzi
Maliza kwanza shule utakuja kushangaa kama ni wewe uloandika hizi thread
 
Back
Top Bottom