Mimi naona aibuWewe unaonaje?
Waambie sawa waendelee ila wasije kukusumbua baadaeKwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Mimi naona aibu
Wewe ni doctor?Kwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Kama umesomea udaktar si vzur kumtibu mtu wa karibu sababu ikitokea kafa yanaeeza zuka manenoKwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?
Dogo bado unaendelea na nyuzi zako za kiuanafunziKwa watu wazima rika la mama yako either ni mama wa rafiki zako wakaja hospitali kupata huduma na wakakukuta wewe ,japo na madaktari wengine pia wapo, na matibabu yao yanataka kuwa expose sehemu zao za siri, je ni sahihi kukataa kuwatibu na kuomba daktari mwengine amtibu kwa kigezo cha kuwaheshimu na kuogopa kuangalia maumbile yao ya ndani kwa kuwa tu ni mama wa rafiki zako?