Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Habari Wakuu,
Nilikuwa naangali UTV kipindi cha KAZI ambapo wanahoji watu wanaofanya kazi mbalimbali za kujipatia kipato.
Sasa katika kipindi cha Leo walikuwa wanawahoji watu wanaouza majeneza,wachimbaji wa makaburi na baadae waliwahoji watu 'wanaolia msibani' kwa kulipwa pesa.
Hawa ni kikundi cha akina mama ambao kazi yao ni kulia kwenye misiba kwa malipo ya fedha.Unachofanya wewe ukiwa na msiba unawatafuta halafu unawapa taarifa fupi ya marehemu(alikuwaje) na uhusiano wako na marehemu,hapo mtakubaliana malipo kutokana na muda wa Kulia kama ni Masaa kadhaa au siku nzima na wao watatengeza 'script yao' ya Namna ya kulia.
Swali ninalojiuliza hawa wenye msiba(wafiwa) ambao wanakodi hawa wajariamali wa Kulia msibani huwa wana Lengo gani? (aliyewahi kuwatumia atuambie)
Je unadhani Kulia msibani ni kazi halali?na kama ni hivyo kuna haja ya kurasimisha hivi vikundi vitambuliwe na serikali?
Na Je wanaume pia wapo?maana mi niliona wanawake tu.
Asante.
Nilikuwa naangali UTV kipindi cha KAZI ambapo wanahoji watu wanaofanya kazi mbalimbali za kujipatia kipato.
Sasa katika kipindi cha Leo walikuwa wanawahoji watu wanaouza majeneza,wachimbaji wa makaburi na baadae waliwahoji watu 'wanaolia msibani' kwa kulipwa pesa.
Hawa ni kikundi cha akina mama ambao kazi yao ni kulia kwenye misiba kwa malipo ya fedha.Unachofanya wewe ukiwa na msiba unawatafuta halafu unawapa taarifa fupi ya marehemu(alikuwaje) na uhusiano wako na marehemu,hapo mtakubaliana malipo kutokana na muda wa Kulia kama ni Masaa kadhaa au siku nzima na wao watatengeza 'script yao' ya Namna ya kulia.
Swali ninalojiuliza hawa wenye msiba(wafiwa) ambao wanakodi hawa wajariamali wa Kulia msibani huwa wana Lengo gani? (aliyewahi kuwatumia atuambie)
Je unadhani Kulia msibani ni kazi halali?na kama ni hivyo kuna haja ya kurasimisha hivi vikundi vitambuliwe na serikali?
Na Je wanaume pia wapo?maana mi niliona wanawake tu.
Asante.