fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Imebidi nicheke aisee.Habari wakuu poleni na kazi,
Hivi ni sahihi kuosha eneo la engine la gari kama inavyoonesha pichani ????
Maana hiyo gari ilikuwa inaoshwa ili sehemu ya engine ionekane inag'aa.
Lengo ni kuuzwa ili ionekane engine haina tatizo.
Je ni sahihi kufanya hivyo ????
View attachment 1747633
Kwann mkuu [emoji28]Imebidi nicheke aisee.
Lengo wa uoshaji huo hapo ni wizi mtupu...kwa sababu kuna boya anaenda kupigwa..
Tuachane na hayo...Ni sawa injini inaweza kuoshwa lakini kwa utaratibu maalumu.
1.Funika sehemu nyeti za umeme kama alternator, fuse boxes na starter motor.
2.Ukishaosha injini hakikisha unaipuliza kwa upepo mkali..
Kama huwezi kuzngatia hayo, usioshe injini yako, acha kama ilivyo uwe tu unaipuliza kwa upepo mkali..
Hivi mkuu hilo eneo huwa halipaswi kuoshwa?Imebidi nicheke aisee.
Mkuu kanuni za utanzaji wa gari ni zipi?Mtu mwenye kujua gari hata usioshe yeye anajua Tu,mwenye kujua gari ataiwasha Kwanza alafu anafungua bonnet kukagua kimoja baada ya kingine..
Nilipokuwa nauza Carina Ti sijasumbuka Sana Kwa upande wa engine Kwasabb ya utunzaji wangu ulikuwa wa Hali juu na kila Mteja aliyekaguwa gari hakuna ambaye aliweka mashaka hata kidogo!!
engine yenye leakage hata uoshe vipi bado itajulikana Tu
Utunzaji wa gari inajumuisha mambo mengi ikiwemo kufanya service Kwa wakati pia kubadilisha spare part Kwa wakati bila kuathiri na kitu kingine.Mkuu kanuni za utanzaji wa gari ni zipi?
Mkuu haya mambo ya kusafisha rejeta nilikuwa siyajui.Natamani unipe madini zaidi nisiyoyajua juu ya utunzaji wa gari.Utunzaji wa gari inajumuisha mambo mengi ikiwemo kufanya service Kwa wakati pia kubadilisha spare part Kwa wakati bila kuathiri na kitu kingine.
Ukikuta ubovu upo sehemu fulan usisubiri mpaka uambukize na kitu kingine ni Bora gari kipaki Tu home.
Gari Yangu ilikuwa ya kizamani lkn bado nilikuwa natumia coolants mwanzomwisho,kabla ya safari ndefu nilikuwa nasafisha rejeta na kuondoa uchafu wote Kwenye cooling system
Ni sawa lakini mwoshaji asitumie maji ya kisima na achanganye na sabuni yake maalumHabari wakuu poleni na kazi,
Hivi ni sahihi kuosha eneo la engine la gari kama inavyoonesha pichani?
Maana hiyo gari ilikuwa inaoshwa ili sehemu ya engine ionekane inag'aa.
Lengo ni kuuzwa ili ionekane engine haina tatizo.
Je, ni sahihi kufanya hivyo?
View attachment 1747633
Mkuu kuna uoshaji wake, si kama huyo anaosha kama vyombo vya sherehe..Hivi mkuu hilo eneo huwa halipaswi kuoshwa?
Nilishawahi osha Nissan Xtrail,Mkuu kuna uoshaji wake, si kama huyo anaosha kama vyombo vya sherehe..
Na kama hujui taratibu za kusafisha injini, iache kama ilivyo..
Kuna gari zikioshwa injini tu, kwikwi inaanzia hapo
We acha tu bossMkuu kuna uoshaji wake, si kama huyo anaosha kama vyombo vya sherehe..
Na kama hujui taratibu za kusafisha injini, iache kama ilivyo..
Kuna gari zikioshwa injini tu, kwikwi inaanzia hapo
🤣🤣🤣Nilishawahi osha Nissan Xtrail,
Check engine ikawaka, hadi kuizima ilinitoka kama 250k. Nikaapa sirudii kuruhusu kitu kama hiki tena.
Ilikuwa mwaka 2015.
Pole sana aiseeNilishawahi osha Nissan Xtrail,
Check engine ikawaka, hadi kuizima ilinitoka kama 250k. Nikaapa sirudii kuruhusu kitu kama hiki tena.
Ilikuwa mwaka 2015.
Oil itaonekana tu, engine ikiwa safi au chafu. Wewe utashindwa kuona michirizi ya oil toka kwenye cylinder head?!Je hiyo engine ina leakage yoyote ya oil?? Ndiyo maana mnaosha ili mnunuaji asitambue hilo??
Ila usafi ni muhimu pote nje na ndani, kitu cha kuzingatia tu maji yasiingie katika sehemu ambazo zinaweza pelekea gari ipate, mfano maji yakiingia kwenye ignition coil au kwenye mfumo wa mafuta na uchomaji (spark plug)
hupelekea gari kuwaka kwa shida au kutokuwaka kabisa.