fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Habari wakuu poleni na kazi,
Hivi ni sahihi kuosha eneo la engine la gari kama inavyoonesha pichani?
Maana hiyo gari ilikuwa inaoshwa ili sehemu ya engine ionekane inag'aa.
Lengo ni kuuzwa ili ionekane engine haina tatizo.
Je, ni sahihi kufanya hivyo?
Hivi ni sahihi kuosha eneo la engine la gari kama inavyoonesha pichani?
Maana hiyo gari ilikuwa inaoshwa ili sehemu ya engine ionekane inag'aa.
Lengo ni kuuzwa ili ionekane engine haina tatizo.
Je, ni sahihi kufanya hivyo?