Je ni sahihi kwa mdhamini na mwendeshaji wa klabu moja kudhamini vilabu vingine?

Je ni sahihi kwa mdhamini na mwendeshaji wa klabu moja kudhamini vilabu vingine?

Kwa Tanzania nchi inayoendeshwa rushwa hili litaleta mkanganyiko baadae ni vile tunaendekeza Ushabiki tu Ila tukiangalia kiundani kuna kitu kinaendelea sababu GSM ndio mlipa mshahara wa Yanga hivyo kudhamini timu nyingine lazima kuna namna ila Acha tuone huko mbeleni
 
GSM siyo mmiliki wa Yanga.
Yeye pale yupo kama mfanyabiashara.
Anatangaza biashara zake sio kwenye teams nyingine, hatumii teams tu Bali kwenye radios, TV, magazeti n.k
Siwaelewi mnapomkana GSM halafu hapo hapo mnakuja na hoja za Azam TV/Azam FC. Ina maana mnaamini umiliki wa GSM katika Yanga unafanana na hiyo mifano yenu au ni vipi hasa mnatolea mifano hiyo?

Pia kuwa mmiliki hakumaanini wewe siyo mfanyabiashara. Watu wanamiliki timu ili watengeneze pesa kupitia hizo timu.
 
Simba iliachana na Sportpes kwa sababu dau la m-bet lilikuwa kubwa. Kabla ya hapo walikuwa chini ya udhamini wa sportpesa kwa miaka mingi sana na muda huo wote Simba ilikuwa bingwa
Simba ilitafuta mdhamini mwingine baada ya SportPesa kuweka mezani mkataba mpya wa Simba ukifanana na wa Yanga. Of course ilikuwa lazima huyo mdhamini mpya atoe pesa zaidi, kwa nini uachane na mdhamini mmoja halafu uende kwa mpya kwa pesa hiyo hiyo au chini ya mwanzo?
 
Siwaelewi mnapomkana GSM halafu hapo hapo mnakuja na hoja za Azam TV/Azam FC. Ina maana mnaamini umiliki wa GSM katika Yanga unafanana na hiyo mifano yenu au ni vipi hasa mnatolea mifano hiyo?

Pia kuwa mmiliki hakumaanini wewe siyo mfanyabiashara. Watu wanamiliki timu ili watengeneze pesa kupitia hizo timu.
Nimekwambia GSM si mmiliki wa Yanga.
Yupo Yanga kudhamini Kwa mikataba.
Akienda team nyingine anadhamini ili atengeneze faida.
GSM hatoi msaada Yanga
GSM anafanya biashara na Yanga
Yaani Yanga ananufaika na GSM ananufaika
 
Ukija na mada ya udhamini wa ligi, vyura wanamruka GSM kama mke aliyefumaniwa na mchepuko. Utaskia, "siyo mdhamini wetu mkuu, siyo mmiliki wetu wala siyo mfadhili wetu". Sasa ni nani huyu bwana? Tumekukuta naye kitandani, ni nani huyo bwana? Mbona yeye ndiyo mnamuimba kila siku? Mnatuchanganya mjue.
Endeleni kuchanganyikiwa siku akili zikirudi itakua too late
 
Kujisifiia Mmesajili Wachezaji wazuri Alafu Bado mnawekeza Nguvu Kwenye Timu Ndogo Siku mkikutana Mpate Mseleleko
Ligi Namba 5 Ya Mchongo Mchongo tu. Wana Simba Nguvu Yetu Akili Yetu Iwaze Michuano Ya Shirikisho Basi Siyo Hii Ligi Ambayo Mwenzio Tayari Ana Point 36 Kibindoni😡
Nani apange matokeo na yeye kwa kufanya vile anafaidika na nini.mpira ni biashara watu wanatangaza bidhaa zao bila hiyo watapataje faida?
 
Siwaelewi mnapomkana GSM halafu hapo hapo mnakuja na hoja za Azam TV/Azam FC. Ina maana mnaamini umiliki wa GSM katika Yanga unafanana na hiyo mifano yenu au ni vipi hasa mnatolea mifano hiyo?

Pia kuwa mmiliki hakumaanini wewe siyo mfanyabiashara. Watu wanamiliki timu ili watengeneze pesa kupitia hizo timu.
Kwani Azam FC ina milikiwa nani?
Ligi ya NBC nani anaidhamini?
Nani anatoa hela za kujikimu kwa timu zote?
Namungo FC inadhaminiwa na nani?
(HEBU WEWE TUPE TOFAUTI KUHUSIANA NA HAYO MASWALI MANNE,HALAFU TUAMBIE UTOFAUTI WAKE).

Halafu Yanga inamilikiwa na nani? Maana mchakato wa hisa Yanga bado...... kwani hiyo mpaka sasa timu ni ya wanachama au kuna sehemu ulisikia GSM anamiliki asilimia ngapi,Yanga?
 
Msi
Kujisifiia Mmesajili Wachezaji wazuri Alafu Bado mnawekeza Nguvu Kwenye Timu Ndogo Siku mkikutana Mpate Mseleleko
Ligi Namba 5 Ya Mchongo Mchongo tu. Wana Simba Nguvu Yetu Akili Yetu Iwaze Michuano Ya Shirikisho Basi Siyo Hii Ligi Ambayo Mwenzio Tayari Ana Point 36 Kibindoni😡
Msimu uliopita Simba ilichangia point 6 na goli 7 vipi nayo inadhaminiwa GSM??
 
Nimekwambia GSM si mmiliki wa Yanga.
Yupo Yanga kudhamini Kwa mikataba.
Akienda team nyingine anadhamini ili atengeneze faida.
GSM hatoi msaada Yanga
GSM anafanya biashara na Yanga
Yaani Yanga ananufaika na GSM ananufaika

Kwani Azam FC ina milikiwa nani?
Ligi ya NBC nani anaidhamini?
Nani anatoa hela za kujikimu kwa timu zote?
Namungo FC inadhaminiwa na nani?
(HEBU WEWE TUPE TOFAUTI KUHUSIANA NA HAYO MASWALI MANNE,HALAFU TUAMBIE UTOFAUTI WAKE).

Halafu Yanga inamilikiwa na nani? Maana mchakato wa hisa Yanga bado...... kwani hiyo mpaka sasa timu ni ya wanachama au kuna sehemu ulisikia GSM anamiliki asilimia ngapi,Yanga?

Sijasema ni mmiliki ila nyie ndiyo mnaleta mifano ya timu ambazo mnadai zina wamiliki ambao pia ni wadhamini wa timu nyingine, kwa maana hiyo mnataka kusema hiyo mifano inafanana na kile kilichopo Yanga? Hivi mnaona mnavyojichanganya? Mmefumaniwa mnamkana ila kutwa kumuimba yeye na siyo huyo mnayedai ndiye mdhamini mkuu. Janja janja na utapeli tu.

Hivi Hersi bado ni mkurugenzi wa uwekezaji pale GSM?
 
Kwani Azam FC ina milikiwa nani?
Ligi ya NBC nani anaidhamini?
Nani anatoa hela za kujikimu kwa timu zote?
Namungo FC inadhaminiwa na nani?
(HEBU WEWE TUPE TOFAUTI KUHUSIANA NA HAYO MASWALI MANNE,HALAFU TUAMBIE UTOFAUTI WAKE).

Halafu Yanga inamilikiwa na nani? Maana mchakato wa hisa Yanga bado...... kwani hiyo mpaka sasa timu ni ya wanachama au kuna sehemu ulisikia GSM anamiliki asilimia ngapi,Yanga?
Usitumie nguvu nyingi
Huyo amechagua kuwa mbumbumbu
Hataki kuelewa
 
Sijasema ni mmiliki ila nyie ndiyo mnaleta mifano ya timu ambazo mnadai zina wamiliki ambao pia ni wadhamini wa timu nyingine, kwa maana hiyo mnataka kusema hiyo mifano inafanana na kile kilichopo Yanga? Hivi mnaona mnavyojichanganya? Mmefumaniwa mnamkana ila kutwa kumuimba yeye na siyo huyo mnayedai ndiye mdhamini mkuu. Janja janja na utapeli tu.

Hivi Hersi bado ni mkurugenzi wa uwekezaji pale GSM?
Niliye leta mimi au huyu mtoa mada? Nimekwambia nipe ww utofauti na sio kuruka ruka kama bisi.

Kwani kilichopo Yanga kina tofauti gani na Azam kwenye ligi na Namungo Fc?
 
Niliye leta mimi au huyu mtoa mada? Nimekwambia nipe ww utofauti na sio kuruka ruka kama bisi.

Kwani kilichopo Yanga kina tofauti gani na Azam kwenye ligi na Namungo Fc?
Haya umemruka mwenzio, turudi kwako. Unaposema kuwa katika hoja ya umiliki kilichopo Yanga hakina tofauti na kilichopo Azam ni kwamba unasema GSM ndiye mmiliki wa Yanga maana hoja mnayoleta hadi kuwataja Azam ni kuwa mmiliki wa Azam TV ndiye mmiliki wa Azam FC kwa hiyo mnahoji inakuwaje hilo wanafanya Azam lakini kwa GSM inakuwa nongwa.
Kwa lugha nyingine mnajivika kitanzi wenyewe . Hivi uko sawa kweli leo au umepiga kilevi?
 
Haya umemruka mwenzio, turudi kwako. Unaposema kuwa katika hoja ya umiliki kilichopo Yanga hakina tofauti na kilichopo Azam ni kwamba unasema GSM ndiye mmiliki wa Yanga maana hoja mnayoleta hadi kuwataja Azam ni kuwa mmiliki wa Azam TV ndiye mmiliki wa Azam FC. Hivi uko sawa kweli leo au umepiga kilevi?
Walimu wana kazi sana Okay haya..

Okay Azam FC inamilikiwa na nani na Azam TV ina milikiwa na nani? Yaani mpaka hili nalo unataka kubisha....... au anayetoa hela za kuendesha na kusimamia shughuli za Azam TV na Azam FC.
 
Walimu wana kazi sana Okay haya..

Okay Azam FC inamilikiwa na nani na Azam TV ina milikiwa na nani? Yaani mpaka hili nalo unataka kubisha.......
Ni kweli walimu wana kazi na mahakimu watakuwa wana kazi rahisi zaidi maana kama watuhumiwa wenyewe ndio kama nyie ni mwendo wa vifungo tu.
 
Ni kweli walimu wana kazi na mahakimu watakuwa wana kazi rahisi zaidi maana kama watuhumiwa wenyewe ndio kama nyie ni mwendo wa vifungo tu.
Sasa ikiwa x=Azam TV,Y=Azam Media,Z=Bakheresa.

Mf z=y,z=x kimahesabu x=y,yaani nimekurudisha darasani tena Algebra ya darasa la saba ila bado utabisha. Walimu wana kazi sana
 
Back
Top Bottom