a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,456
- 1,459
Ni zaidi ya miaka 50 sasa, tangu nchi ya kwanza Afrika kupata uhuru, na miaka karibia 20 tangu nchi ya mwisho ipate uhuru.
Katika kipindi hiki chote kila taifa limejitahidi kujitutumua kuimba wimbo wa maendeleo, wengine wakaungana, wakabadili mifumo, wakabadili uongozi, nk. Lakini bado hakuna hata nchi moja ya weusi iliyopata kujitoa katika vilio vya raia wake dhidi ya njaa, vita, maradhi, utumwa, wizi, matabaka, unyonge, unyonyaji, uduni, kashfa, umasikini, nk. Je, ni sahihi kuendeleza hizi "personal efforts" dhidi ya adui yetu ambaye ni mmoja? Kwani unyonge wetu Afrika una chanzo kingine zaidi ya huu wa RASILIMALI ZETU KUNUFAISHA MATAIFA YA NJE, HALI KWETU DUNI? Haijalishi nani anawezesha mirija hii inayofanikisha "flow of wealth from Africa to Western Countries", utajiri uliotakiwa kuboresha barabara, shule, hospitali, viwanda, teknolojia yetu, nk.
Kwanini tunapita kwenye njia walizounda adui zetu, zenye vipingamizi vya makusudi? TUNAOTA NDOTO GANI SISI KAMA AFRIKA?
Nyerere, licha ya kuiweka Tanganyika huru, kama Kwame na Ghana yake, hawakulidhika bali walipigana kuhakikisha mataifa mengine nayo yanakuwa huru, walichojali ni MAFUNGAMANO YETU, ni kama jeraha mguu kudhohofisha mwili mzima.
Hili linajulikana, lakini measures zinazochukuliwa na nchi zetu ni kama mchezo wa kimama mama, mbaya zaidi tunamsikiliza mzungu juu ya aina gani nzuri za kupigana dhidi ya wizi wao wenyewe, kweli tutafika?
HAKUNA AFRIKAMOJA, BASI NI UPUUZI KUOTA MAENDELEO, imani yangu!
Mungu wetu anaita!
Katika kipindi hiki chote kila taifa limejitahidi kujitutumua kuimba wimbo wa maendeleo, wengine wakaungana, wakabadili mifumo, wakabadili uongozi, nk. Lakini bado hakuna hata nchi moja ya weusi iliyopata kujitoa katika vilio vya raia wake dhidi ya njaa, vita, maradhi, utumwa, wizi, matabaka, unyonge, unyonyaji, uduni, kashfa, umasikini, nk. Je, ni sahihi kuendeleza hizi "personal efforts" dhidi ya adui yetu ambaye ni mmoja? Kwani unyonge wetu Afrika una chanzo kingine zaidi ya huu wa RASILIMALI ZETU KUNUFAISHA MATAIFA YA NJE, HALI KWETU DUNI? Haijalishi nani anawezesha mirija hii inayofanikisha "flow of wealth from Africa to Western Countries", utajiri uliotakiwa kuboresha barabara, shule, hospitali, viwanda, teknolojia yetu, nk.
Kwanini tunapita kwenye njia walizounda adui zetu, zenye vipingamizi vya makusudi? TUNAOTA NDOTO GANI SISI KAMA AFRIKA?
Nyerere, licha ya kuiweka Tanganyika huru, kama Kwame na Ghana yake, hawakulidhika bali walipigana kuhakikisha mataifa mengine nayo yanakuwa huru, walichojali ni MAFUNGAMANO YETU, ni kama jeraha mguu kudhohofisha mwili mzima.
Hili linajulikana, lakini measures zinazochukuliwa na nchi zetu ni kama mchezo wa kimama mama, mbaya zaidi tunamsikiliza mzungu juu ya aina gani nzuri za kupigana dhidi ya wizi wao wenyewe, kweli tutafika?
HAKUNA AFRIKAMOJA, BASI NI UPUUZI KUOTA MAENDELEO, imani yangu!
Mungu wetu anaita!