JingalaFalsafa,
Mkuu wangu maneno yako mazito sana na sijui kama watu wanaelewa uzito wake kwa mwafrika kama waasisi wa Uhuru wa nchi zetu - Sidhani na kama wapo leo wameshaondoa hisia hizo kutokana na umbu la vijana waliokamata tawala sasa hivi..
Adui mkubwa wa maendeleo ya Waafrika ni Umaskini na Ujinga wenyewe. Leo inajionyesha wazi wazi kwamba muungano wa nchi maskini hauwezekani tena kutokana na umaskini pamoja na Ujiunga walotuachia wakoloni..Unajua waasisi wetu wa Uhuru walijua uyasemayo na ndio maana ktk maandalizi ya Uhuru wa nchi zetu waliweka vikao kwanza wakielewa wazi kwamba Uhuru wa Bendera tu hauwezi kutuondolea matatizo yetu. Walijua wazi tuna maaadui wawili wakubwa mmoja wa nje (UKOLONI) na mwingine wa ndani UMASIKINI na UJINGA hivyo wakatafakari njia na mbinu za sio tu Afrika iwe huru bali pia kuunganisha mataifa yetu, ili tupate nguvu ya kiuchumi dhidi ya ukoloni na ule wa mamboleo ambao walikuwa wakituibia rasilimali zetu..
Kwa bahati walifanikiwa nusu ile ya kwanza kumwondoa mkoloni lakini kwa bahati mbaya zaidi wakashindwa kutuunganisha..Na sii kwamba haikuwezekana isipokuwa Umaskini na Ujinga ulichukua nafasi kubwa ktk maamuzi kama nisemavyo maskini hugombania hata chakula badala ya kugawana chakula.. Inashangaza lakini ndio ukweli. Na nadhani unazidi kuyaona maajabu ya waafrika tukizidi kugawanyika hata nchi zilizweza kuungana jana leo hawapendani tena kwa sababu ya Umaskini na Ujinga.
Kifupi mkuu wangu UTU wa mwanadamu ni ajizi kwa maskini, tunaweza sana kulalamika kunyoioshea watu vidole lakini siku zote itabakia kuchumia mkono uendao kinywani. Hatuwezi kupambana na Ukoloni mamboleo kwa fikra za nchi moja moja haiwezekani na ndio maana leo nchi yoyote inayojaribu kupambana na wezi hawa huwekewa vikwazo na utajikuta peke yako. Nchi za magharibi wamehakikisha hilo haliwezekani kutokana na kwamba wana control nguvu ya umaskini wetu na Ujinga wetu...Hata elimu tunayosomeshwa ni ELIMU inayoweza tu kuendesha biashara zao, unayoweza fanya kazi tu ndani ya mfumo wao lakini kwa undani wake ni elimu inayomweka Mwafrika kuwa mtumwa na mhitaji zaidi..
Tumefikia mahala lazima tukubali, wachache waliopo leo wenye fikra kama zako huitwa Magaidi - Terrorists kwa sababu unatishia interest zao..Na wanasema wazi kabisa kwamba watalinda interest zao nje kwa njia yoyote ile possible hivyo IMF, World Bank, UN yvote hivi ni vyombo vinavyounganisha maskini na matajiri jinsi gani tunaweza kuishi pamoja tukinyonywa kwa kipande cha mkate. Mimi na wewe hatuwezi kuiokoa Afrika, hatuwezi kupandikiza mbegu mpya kwa sababu hata mkulima hupanda kwenye ardhi yenye rutuba na maji sio juu na magugu au jangwa.. Vichwa vya waafrika ktk umaskini ni sawa kabisa na magugu au jangwa kwa umaskini na Ujinga, hakitaota kitu..
Kibwagizo:- AFRICOM si wameingia Tz tayari sasa tazama hapa:-
The U.S. needs oil. And Africa has it. Lots of it. It's in this context that the Bush administration has announced a new central command for its military presence in Africa called AFRICA COMMAND (AFRICOM).
Please listen to Avis Lewis live on Africa's Ungoverned Spaces!......Play the video, get the big picture!
http://www.cbc.ca/onthemap/fullpage.php?id=119
Mkuu wangu maneno yako mazito sana na sijui kama watu wanaelewa uzito wake kwa mwafrika kama waasisi wa Uhuru wa nchi zetu - Sidhani na kama wapo leo wameshaondoa hisia hizo kutokana na umbu la vijana waliokamata tawala sasa hivi..
Adui mkubwa wa maendeleo ya Waafrika ni Umaskini na Ujinga wenyewe. Leo inajionyesha wazi wazi kwamba muungano wa nchi maskini hauwezekani tena kutokana na umaskini pamoja na Ujiunga walotuachia wakoloni..Unajua waasisi wetu wa Uhuru walijua uyasemayo na ndio maana ktk maandalizi ya Uhuru wa nchi zetu waliweka vikao kwanza wakielewa wazi kwamba Uhuru wa Bendera tu hauwezi kutuondolea matatizo yetu. Walijua wazi tuna maaadui wawili wakubwa mmoja wa nje (UKOLONI) na mwingine wa ndani UMASIKINI na UJINGA hivyo wakatafakari njia na mbinu za sio tu Afrika iwe huru bali pia kuunganisha mataifa yetu, ili tupate nguvu ya kiuchumi dhidi ya ukoloni na ule wa mamboleo ambao walikuwa wakituibia rasilimali zetu..
Kwa bahati walifanikiwa nusu ile ya kwanza kumwondoa mkoloni lakini kwa bahati mbaya zaidi wakashindwa kutuunganisha..Na sii kwamba haikuwezekana isipokuwa Umaskini na Ujinga ulichukua nafasi kubwa ktk maamuzi kama nisemavyo maskini hugombania hata chakula badala ya kugawana chakula.. Inashangaza lakini ndio ukweli. Na nadhani unazidi kuyaona maajabu ya waafrika tukizidi kugawanyika hata nchi zilizweza kuungana jana leo hawapendani tena kwa sababu ya Umaskini na Ujinga.
Kifupi mkuu wangu UTU wa mwanadamu ni ajizi kwa maskini, tunaweza sana kulalamika kunyoioshea watu vidole lakini siku zote itabakia kuchumia mkono uendao kinywani. Hatuwezi kupambana na Ukoloni mamboleo kwa fikra za nchi moja moja haiwezekani na ndio maana leo nchi yoyote inayojaribu kupambana na wezi hawa huwekewa vikwazo na utajikuta peke yako. Nchi za magharibi wamehakikisha hilo haliwezekani kutokana na kwamba wana control nguvu ya umaskini wetu na Ujinga wetu...Hata elimu tunayosomeshwa ni ELIMU inayoweza tu kuendesha biashara zao, unayoweza fanya kazi tu ndani ya mfumo wao lakini kwa undani wake ni elimu inayomweka Mwafrika kuwa mtumwa na mhitaji zaidi..
Tumefikia mahala lazima tukubali, wachache waliopo leo wenye fikra kama zako huitwa Magaidi - Terrorists kwa sababu unatishia interest zao..Na wanasema wazi kabisa kwamba watalinda interest zao nje kwa njia yoyote ile possible hivyo IMF, World Bank, UN yvote hivi ni vyombo vinavyounganisha maskini na matajiri jinsi gani tunaweza kuishi pamoja tukinyonywa kwa kipande cha mkate. Mimi na wewe hatuwezi kuiokoa Afrika, hatuwezi kupandikiza mbegu mpya kwa sababu hata mkulima hupanda kwenye ardhi yenye rutuba na maji sio juu na magugu au jangwa.. Vichwa vya waafrika ktk umaskini ni sawa kabisa na magugu au jangwa kwa umaskini na Ujinga, hakitaota kitu..
Kibwagizo:- AFRICOM si wameingia Tz tayari sasa tazama hapa:-
The U.S. needs oil. And Africa has it. Lots of it. It's in this context that the Bush administration has announced a new central command for its military presence in Africa called AFRICA COMMAND (AFRICOM).
Please listen to Avis Lewis live on Africa's Ungoverned Spaces!......Play the video, get the big picture!
http://www.cbc.ca/onthemap/fullpage.php?id=119
Last edited by a moderator: