Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acheni ujinga, sherehekeeni mwaka mpya maana ndio mfumo unaotawala dunia nzima, mtake msitake mtalazimika kusherehekea tu kwa namna moja au nyingineHuu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Usisherehekee siyo lazima.Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Ninyi msubiri sikukuu yenu ya kiyahudi.Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Hii ni misconception kubwa sana miongoni mwa waislamu wengi wenye ilimu ndogo ya dini. Mwaka kama mwaka hauna signifance yoyote katika dini, iwe ni Gregorian ama Hijria. Waislamu hatuna sababu ya kusherehekea mwaka mpya huu kama ambavyo pia hatusherehekei mwaka mpya wa Hijria, ulishawahi kuona kuna sikukuu katika tarehe za kidini kusherehekea mwaka mpya wa kiislamu? hakuna kitu kama hicho.Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Na hiyo simu unayotumia sio ya kikafiri? Na mtandao huu unaoutumia sio wa kikafiri?Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Unashabikia mfumo KristoUsisherehekee siyo lazima.
Halafu kesho ingia bank andika tarehe unayoijua wewe mwaka malizia na mwaka 1450 au wowote utakaoona ni sahihi kwako uone kama utapewa hela zako.
Hii ni miaka ya kikafirKwani mleta mada labda sijakuelewa,unamaanisha kusherehekea kwa kupiga vigele gele au kitu gani maana me mwenyewe sijasherehekea au unamaanisha zile wishes kutoka kwa wadau wako ndiyo huzitaki?
Watu mnafanya maisha yawe magumu sana unashindwa nini kumjibu tu mtu kwa neno “Asante“ au ”na kwako pia” kisha uka-lock simu ukaweka mfukoni maisha yakaendelea?
Ipi?Ninyi msubiri sikukuu yenu ya kiyahudi.
Waliweka wakristu hii kalendaNambari hazina dini. Hivi huu mwaka mpya ni wa dini gani
😂😂😂😂 Mkuu basi usiitumie tumia unayoijua wewe.Hii ni miaka ya kikafir
Acha Ukafiri wako mwaka ndiyo huo huo, kama una kalenda yako mbona hutumii katika maisha yako. Acha ku complicate mambo kisa tamaduni za Mwarabu zimemeza uwezo wako wa kufikiri.Huu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Kafiri wa kwanza alikuwa Mtume Muhammad (S.A.W)Hii ni miaka ya kikafir