mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,582
- 4,378
Mfumo kristu ndio unatawala dunia kwahyo kuwa mpole tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mfumo Kristo tunaupinga sana si sawa hata kidogo. Serikali ibadilishe jambo hili😂😂😂😂 Mkuu basi usiitumie tumia unayoijua wewe.
Wewe unafuata tamaduni za nani,Acha Ukafiri wako mwaka ndiyo huo huo, kama una kalenda yako mbona hutumii katika maisha yako. Acha ku complicate mambo kisa tamaduni za Mwarabu zimemeza uwezo wako wa kufikiri.
Astaghafilulah . Una maana gani?Kafiri wa kwanza alikuwa Mtume Muhammad (S.A.W)
Unaujua Ukafiri wa Mwamedi?
Nina maana kwamba Mwamedi ndio mwasisi wa UkafiriAstaghafilulah . Una maana gani?
How fafanua? Una mistari.Nina maana kwamba Mwamedi ndio mwasisi wa Ukafiri
Leta ushahidi bossWaliweka wakristu hii kalenda
Kwani mwaka mpya ni sherehe ya kidiniHuu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Hata tarehe usiwe unatamka hizi tumieni hizo za kwenu zenye majina ya watu mara mwezi wa abdalah ,juma nk. Hata saa, msitumie Wala simu futeni majira wekeni hayo majina ya kiarabuHuu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Kumbe wajinga bado mpo na nilijua wameishaHuu mwaka siyo wetu...ni Mwaka wa Kikafir kabisa. Si kama kwenye Kalenda yetu.
Nashangaa naona watu wanatakiana heri na fanaka.
Mkuu wafuasi wa mudi wote wanashida, na ndo maana quran yao wenyewe mudi anasema wafuasi wake wote motoniNa hiyo simu unayotumia sio ya kikafiri? Na mtandao huu unaoutumia sio wa kikafiri?
Sio Makafiri waliotengeneza hayo yote?
Acha Unafiq,
Gregorian Calender hebu kaitafute maana yake na ilianzishwajeLeta ushahidi boss
Wewe sasa hapo umeanzisha dini yako bila kujijua! .. na muongozo uliotoa ndo nguzo za imani ya dini yako. Unaposema dini sio msingi wa mwanadamu kupata radhi za Mungu inakuwa pia umesema hakuna muongozo wowote wa imani na ibada kwakuwa ni only kupitia hizo dini ndo watu wamejua kuwa kuna Mungu anaepaswa kuabudiwa na yale anayoyataka kwetu ni yapi.Watu wako busy na dini wakati Mungu mwenyewe Hana habari na dini zetu yuko busy na maisha yako unayoishi kama yanampendezq yeye na ya usafi Mungu kanuni zake za maisha haziiko that complicated ndio maana kwenye Matayo 5 :8 amesema heri wenye moyo safi ndio watamwona Mungu.Tafuta kuwa na Moyo safi na sio dini safi haipo na Mungu hakuwahi kuanzisha dini sisi sasa tunavyoqngaika nazo .Mimi naamini binadamu wote sawa ,Mungu ametupa nguvu ndani yetu kwenye universe ya kuwa na mamlaka ya kila kitu na kupendna basi hayo mengine ni shida za kutuleletea utengano tu hence moyo wako uchafuke.Mwaka mpya sherehekea ,uhuru wa Tz sherehekea ,kuzqliwa kwa Mtume sherehekea kuzaliwa kwa Yesu the same nothing will make you bad or good. Fanya kazi kwa bidii ,penda watu wote ikiwepo kusaidia wasiojiweza nk jinenee mambo mazuri ,kataa ubaya ndani yako ,usimwonee mtu ,usichukue cha mtu na kama umechukua mzudishie kwani hata ukiwa na dini ukitubu husamehewi mpaka urudishe au umwombe msamaha mhusika .Sasa wewe fia dini na utakuta wapagani wanaoishi kwa kanuni safi wanafanikiwa na watamwona Mungu