Je ni sahihi kwa taifa 'takatifu' kuongozwa na kulindwa na Marekani taifa chafu kuliko yote?

Je ni sahihi kwa taifa 'takatifu' kuongozwa na kulindwa na Marekani taifa chafu kuliko yote?

Bila Marekani, Saudi Arabia isingekuwa kama ilivyo. Ingeishageuka Afghanistan zamani. Je ni halali taifa 'takatifu' kulindwa na taifa chafu kama Marekani? Wanangu wenye kujua nisaidieni.

Unaita taifa linalowapa ARV bure na ambalo liliwasaidia unga wa DONOR mlipo kuwa na njaa baada ya vita ya Kagera chafu?

Kama Marekani ni taifa "chafu" kwanini for the last 4 years kuna wahamiaji Milioni 15 wameingia?

Na nani kakwambia Saudi Arabia ni takatifu? Unajua MBS alichomfanya yule mwandishi wa habari Khashoggi?

Hii nchi uhuru umezidi
 
Unaita taifa linalowapa ARV bure na ambalo liliwasaidia unga wa DONOR mlipo kuwa na njaa baada ya vita ya Kagera chafu?

Kama Marekani ni taifa "chafu" kwanini for the last 4 years kuna wahamiaji Milioni 15 wameingia?

Na nani kakwambia Saudi Arabia ni takatifu? Unajua MBS alichomfanya yule mwandishi wa habari Khashoggi?

Hii nchi uhuru umezidi
Mkuu utanitag kama mtoa mada ataweza kujibu hili swali lako.
 
Unaita taifa linalowapa ARV bure na ambalo liliwasaidia unga wa DONOR mlipo kuwa na njaa baada ya vita ya Kagera chafu?

Kama Marekani ni taifa "chafu" kwanini for the last 4 years kuna wahamiaji Milioni 15 wameingia?

Na nani kakwambia Saudi Arabia ni takatifu? Unajua MBS alichomfanya yule mwandishi wa habari Khashoggi?

Hii nchi uhuru umezidi
Ninakubaliana na wewe kiasi kikubwa ila hapo kwenye ARV sikuungi mkono , YAANI MTU ATENGENEZE VIRUSI VYA UKIMWI KWENYE MAABARA HALAFU UNAMPONGEZA KWA KUKUTENGENEZEA ARV!!! Hata kama tunaipenda Marekani lakini mahaba yasipitilize hivyo. Work up Africa
 
Siyo kwamba taifa takatifu linajilinda kwa kivuli Cha umarekani!? Wanaotia presha hizo assist ziende Israel Wana asili ya wapi!!


Kagame ana ndoto za wayahudi
 
Ninakubaliana na wewe kiasi kikubwa ila hapo kwenye ARV sikuungi mkono , YAANI MTU ATENGENEZE VIRUSI VYA UKIMWI KWENYE MAABARA HALAFU UNAMPONGEZA KWA KUKUTENGENEZEA ARV!!! Hata kama tunaipenda Marekani lakini mahaba yasipitilize hivyo. Work up Africa

Kwanza kabisa the idea kwamba HIV ilitengnezwa kumaliza Waafrika ni uongo. As we speak kuna Wamarekani Milioni 1.2 wanaishi na virusi vya UKIMWI

The idea that kuna watu walikaa wakaja na mpango wa kuwapunguza Waafrika via HIV ni facade. Tunajipa umuhimu sana. We are not a threat to Americans.

We could have that discussion kama sisi tungekuwa Warusi au Wachina

Secondly, Marekani alikuwa na uwezo na mamlaka ya kutotupa hizo ARV bure hata kama UKIMWI ulitokea huko. Sio kwamba ni lazima wao watoe hiyo funding ya ARV kwa Tanzania.

Hivi ushawahi kuwaza ARV zingekuwa zinauzwa ni watu wangapi wangekufa hadi sasa hivi?
 
Nini maana ya Utakatifu/takatifu?
Ni utakaso yaan usafi kiimani isiyo na madoa yaan najisi ya aina yoyote ile. Kwa mfano mtoto aliyezaliwa leo huyo ni mtakatifu hana dhambi wala ubaya aina yoyote ile.
 
Ni utakaso yaan usafi kiimani isiyo na madoa yaan najisi ya aina yoyote ile. Kwa mfano mtoto aliyezaliwa leo huyo ni mtakatifu hana dhambi wala ubaya aina yoyote ile.
Asante mkuu kwa ufasili huu murua

Kwa maana hiyo unamaanisha, hayo maeneo matakatifu, hayakanyagwi na wenye dhambi wala kifanyika dhambi katika maeneo hayo mkuu
 
Bila Marekani, Saudi Arabia isingekuwa kama ilivyo. Ingeishageuka Afghanistan zamani.

Je ni halali taifa 'takatifu' kulindwa na taifa chafu kama Marekani? Wanangu wenye kujua nisaidieni.
Tatizo la kutokujua history ndo hili!

Ufalme wa Saudia ulitengenezwa kwa msaada wa hila UK, hii ni kabla ya WW2. Kipindi hiki the world super power was UK, then after the war ilitokea shift of power due to a vacuum that was created kwa kudhoofika kwa world then super powers, hapo ndipo US ilipapata upenyo wa kuwa super power.

Kwa manufaa yako tu unapaswa kuelewa kamwe mzungu hajawahi kuwa na maslahi yako moyoni, kuanzia kwa Mreno, Muingereza, Mjerumani, Mfaransa etc. Huko nyuma mwenye mpini (anaeshikilia koloni ama resorce muhimu overseas) alilinda mamlaka yake kwa nguvu na hii ndio iliyopelekea vita kuu mbili za dunia.

Wazungu walitambua kuwa they cannot afford to have another world war as ni hasara kwao wao wenyewe kwa wenyewe, so they created a UN. Guess nani alikuwa kiranja wa UN! ... USA, they were now the new Super power and automatically yeye ndo kiranja wa dunia.

So kwa kutambua hilo unapaswa ujue the same reasons kwanini wazungu walimtawalisha Al Saudi as King wa Hijaz na kubadilisha jina kuwa Saudi Arabia, the same reasons zinaendelea isipokuwa sasa anayeongoza campaign ni US government.
 
Asante mkuu kwa ufasili huu murua

Kwa maana hiyo unamaanisha, hayo maeneo matakatifu, hayakanyagwi na wenye dhambi wala kifanyika dhambi katika maeneo hayo mkuu
Watu si ndio wanaenda kutakaswa Sasa na kupata baraka hivyo wenye dhambi wanakanyaga, lakini si ruksa kufanya dhambi pale na haifanyiki pale
 
Kwa waislamu maka na madima ni sehemu takatifu sana.

Kwa wasaudia maka na madina ni historical sites tu kwaajili ya kuwaingizia pesa.
 
Kwanza kabisa the idea kwamba HIV ilitengnezwa kumaliza Waafrika ni uongo. As we speak kuna Wamarekani Milioni 1.2 wanaishi na virusi vya UKIMWI

The idea that kuna watu walikaa wakaja na mpango wa kuwapunguza Waafrika via HIV ni facade. Tunajipa umuhimu sana. We are not a threat to Americans.

We could have that discussion kama sisi tungekuwa Warusi au Wachina

Secondly, Marekani alikuwa na uwezo na mamlaka ya kutotupa hizo ARV bure hata kama UKIMWI ulitokea huko. Sio kwamba ni lazima wao watoe hiyo funding ya ARV kwa Tanzania.

Hivi ushawahi kuwaza ARV zingekuwa zinauzwa ni watu wangapi wangekufa hadi sasa hivi?
Ni kweli kuna mengine ambayo sio ya kweli na yanabaki kuwa ni hisia tu. Ila tunaelezwa kuwa Marekani imekuwa ikilaumiwa miaka mingi kuwa kujenga maabara za siri sana ambazo ni hatari kwa afya za wanadamu. Na majaribio yao wanafanyia kwetu. Hata Ebola inaaminika ni Virus wa Maabara
 
Bila Marekani, Saudi Arabia isingekuwa kama ilivyo. Ingeishageuka Afghanistan zamani.

Je ni halali taifa 'takatifu' kulindwa na taifa chafu kama Marekani? Wanangu wenye kujua nisaidieni.
Angalau hata ungesema Uingereza sawa, hizo nchi za Gulf hapo zina mkataba wa kulindwa na Uingereza sio Marekani,

Miaka ya 70 kulikua na Mfalme wa Saudia anaitwa King Fahad alitaifisha Mali zote hizo, na kuhakikisha mafuta yote ni ya wasaudia tu, Legacy yake yeye ndio maana unaona Saudia ni Matajiri hivyo, ila Bila yeye na wao wangekuwa wananyonywa kama Nchi nyengine zenye mafuta.

Na Saudia sio Taifa Takatifu, umeona wapi? Usichanganye miji mitakatifu na taifa takatifu.
 
Ni kweli kuna mengine ambayo sio ya kweli na yanabaki kuwa ni hisia tu. Ila tunaelezwa kuwa Marekani imekuwa ikilaumiwa miaka mingi kuwa kujenga maabara za siri sana ambazo ni hatari kwa afya za wanadamu. Na majaribio yao wanafanyia kwetu. Hata Ebola inaaminika ni Virus wa Maabara
Hata Covid sio sio siri ni Ugonjwa uliotengenezwa kuua watu weusi,

Ashkenaz jews ndio binadamu ambao damu zao zipo strong vs Covid na wabantu ndio damu ambayo ipo weak vs Covid,


View: https://x.com/Resist_05/status/1682168651590569984

Alianza JF keneddy Jr na kuna studies kibao zimefanyika kubackup hio claim.
 
Back
Top Bottom